Ongeza maarifa kupitia mwongozo wa vitabu vya kilimo bora cha kisasa na ufugaji bora wa kisasa kwa Tsh 2,000 tu kwa kila kitabu. ( e-book)
Vitabu hivi vipo kwenye mfumo wa softcopy (pdf) na utatumiwa kwa njia ya WhatsApp baada ya kuthibitisha kutuma Tshs elfu mbili tu kwa na kusema kitabu...
Mim ni mkulima nina muda wa miaka minne katika kilimo cha mpunga, mkoa wa Morogoro wilaya ya Mvomero, tarafa ya Turiani, na ndipo shamba lenyewe lilipo ukubwa wa heka nne (4) na nusu. Kwa msimu huu unaokuja nguvu imepungua hivyo nikaona nitafute mshirika tunaeweza kuweka misingi ya miongozo kama...
Kuna barua inayosambaa sana kwenye mitandao mbalimbali inayoeleza taarifa kwa vyombo vya habari.
Lakini ukiisoma vizuri barua hiyo utagundua aliyeandika barua hiyo imeeleza tu imetolewa na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, lakini imeandikwa na nani , cheo chake ni kipi...
Habari za majukumu wapendwa. Siku ya Jumatatu tarehe tajwa hapo juu, sekretarieti ya ajira iliendesha usahili tajwa, kwa kada mbalimbali pale MUHAS, nataka kujua kwa wale waliopata teyari shavu la Mungu kuwaona, wameshapewa taarifa teyari?
Kwa wale wote walioomba nafasi za kazi katika tume ya utumishi wa umma MUHAS, watembelee website ya utumishi wameshatoa majina. Hii itawahusu na wale waliokuwa wavivu kuingia kwenye website ya utumishi mara kwa mara huku wakiwa wameomba ajira.
Habari za majukumu. Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 36 nilihitimu diploma ya social work katika chuo cha Ustawi wa jamii kilichopo, Kijitonyama - Dar es salaam mwaka 2009. Nilifanikiwa kufanya kazi katika mradi wa Tunajali kama OVC focal person kwenye upande wa watoto yatima na wanaoishi...
Habari za majukumu wapendwa. Niliwahi kudadisi kuhusu njia za uzazi wa mpango hususani wanazotumia wanawake kama ya vidonge, vijiti, vitanzi, na kuyapata matokeo ya walio wengi wakilalamikia madhara ya kama kubadilika kwa siku ghafla, uke kuwa na maji, tumbo kuwa kubwa mfano manyama uzembe...
Inaweza ikawa kwa fikra za kawaida ukajiuliza nikaapo hawapo mpaka nitafute hapa?, lakini when you search someone to be your wife your never know utakutana nae kwenye mazingira yapi!, natafuta ambaye even her eyes closed but her heart still open. Vigezo no kuanzia maji ya kunde in nature...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.