Tangazo la kazi halmashauri wilaya ya Ulanga kwa nafasi za katibu mahsusi, na dereva na mtunza kumbukumbu

Bakariforever

JF-Expert Member
Aug 30, 2017
510
509
Halmashauri ya wilaya ya Ulanga imetangaza nafasi za kazi kwa fani tajwa hapo juu. Wenye kada husika mnaweza kutembelea
 

Attachments

  • AJIRALEO.COM_TANGAZO LA KAZI ULANGA.pdf
    1.9 MB · Views: 155
Hivi kwanini halmashauri huwa wanaajiri hizi kada tatu sana je ni kutokana na watu wanaachia ngazi sana,nguvu haitoshi,au kipi hufanya iwe hivi kuliko kada nyingine hasa katika hizi Halmashauri maana sijawahi ona wanatangaza kada nyingine mfano Uhasibu,Uchumi,Afisa biashara,Mhandisi n.k
 
hALMA
Hivi kwanini halmashauri huwa wanaajiri hizi kada tatu sana je ni kutokana na watu wanaachia ngazi sana,nguvu haitoshi,au kipi hufanya iwe hivi kuliko kada nyingine hasa katika hizi Halmashauri maana sijawahi ona wanatangaza kada nyingine mfano Uhasibu,Uchumi,Afisa biashara,Mhandisi n.k
HALMASHAURI ZIMEPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WA WATUMISHI KADA ZA CHINI KAMA MADREVA, WATENDAJI, WATUMISHI WA MASIAJAL (WATUNZA KUMBUKUMBU), WAHAZILI N.K CHINI YA USIMAMIZI WA SECRETARIET YA AJIRA.

KADI ZA KITAULUMA KUANZIA MAAFISA AJIRA ZAKE ZIPO CHINI YA SECRETARIET YA AJIRA MOJA KWA MOJA.
 
hALMA

HALMASHAURI ZIMEPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WA WATUMISHI KADA ZA CHINI KAMA MADREVA, WATENDAJI, WATUMISHI WA MASIAJAL (WATUNZA KUMBUKUMBU), WAHAZILI N.K CHINI YA USIMAMIZI WA SECRETARIET YA AJIRA.

KADI ZA KITAULUMA KUANZIA MAAFISA AJIRA ZAKE ZIPO CHINI YA SECRETARIET YA AJIRA MOJA KWA MOJA.
Duuuuh kumbe ndio hivyo aiseeeee
 
hALMA

HALMASHAURI ZIMEPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WA WATUMISHI KADA ZA CHINI KAMA MADREVA, WATENDAJI, WATUMISHI WA MASIAJAL (WATUNZA KUMBUKUMBU), WAHAZILI N.K CHINI YA USIMAMIZI WA SECRETARIET YA AJIRA.

KADI ZA KITAULUMA KUANZIA MAAFISA AJIRA ZAKE ZIPO CHINI YA SECRETARIET YA AJIRA MOJA KWA MOJA.
Leo nimepata jibu mkuu na vipi kuhusu wizara ajira zao wanachakata nani maana sijawahi ona wizara mbalimbali mfano ya fedha n.k ikitangaza nafasi za kazi ila tu watu huwa wanaajiriwa hii inakuaje pia kama unafahamu mkuu?
 
Leo nimepata jibu mkuu na vipi kuhusu wizara ajira zao wanachakata nani maana sijawahi ona wizara mbalimbali mfano ya fedha n.k ikitangaza nafasi za kazi ila tu watu huwa wanaajiriwa hii inakuaje pia kama unafahamu mkuu?
Ajira zote za taasisi za Umma zipo chini ya Secretariet ya ajira. Taasisi zinapeleka mahitaji yao Utumishi, then utumishi wanawasiliana na hazina kuhusu wezo wa kifedha wa kuweza kuajiri. Baada ya hapo wanawasilisha mahitaji secretariet kuzingatia uwezo wa kifedha baada ya mashauriano na hazina. hata hizo za Halmashauri zinatolewa kulingana na kibali cha hazina na utumishi.
 
Ajira zote za taasisi za Umma zipo chini ya Secretariet ya ajira. Taasisi zinapeleka mahitaji yao Utumishi, then utumishi wanawasiliana na hazina kuhusu wezo wa kifedha wa kuweza kuajiri. Baada ya hapo wanawasilisha mahitaji secretariet kuzingatia uwezo wa kifedha baada ya mashauriano na hazina. hata hizo za Halmashauri zinatolewa kulingana na kibali cha hazina na utumishi.
Nimekuelewa vizuri mkuu.Shukrani
 
Back
Top Bottom