Hostel za MUCCoBS ni tatizo hasa wa watoto wa kiume but kwa wadada kupata ni lazima.
Sema kuna hostel za watu binafsi nje ya chuo japo si mbali na chuo ambapo ukiwahi waweza pata chumba cha watu 4.
Gharama za hostel ni 165000tsh kwa hostel za ndani na za nje ni 200000tsh.kama ni mvulana mi...
Habari zenu wadau
Juzi tulikuwa tunazungumza na mpenzi wangu katika maongezi kuna story nikawa namsimulia then nilipomaliza akaniambia "hivi we utajisikiaje endapo mtu unaempenda anakudanganya"?nilichomuuliza ni kuwa unadhani nilichokuwa nakwambia nakudanganya? Akabisha basi nikamwambia mama mi...
Ushauri kw wote.
Unapotak kusoma corse jaribu kuangalia Matokeo ya iyo corse Miaka mitatu kutoka sasa mtakuwa Wangapi Sokoni.ACCOUNTING imekuwa ndo corse ya kukimbilia.takriban kila chuo ki a degree ya Account sasa.pia jaribu Kuangalia Corse inayoweza kukupa Uwezo wa kujiajiri na si kuajiliwa...
Huwa naona kuna tatizo katika interest ya kimaslah kati ya Bank na guarantors.sasa hiyo pia yaweza kuwa Research Gap
Lakini pia Performance ya Revolving Fund kwa Hizo SMEs waweza itengenezea Gap.
Kwa Ushauri mkuu jaribu kusoma Vitabu vya Small micro enterprise utapata mwanga mzuri
Sijawahi fikiria kama bado kuna watu wana akili mbovu kama huyu jamaa.ulitaka chuo wasome wenye div ngapi sasa?
Tatizo hujafika chuo thats why unalopoka ngoja uende na hiyo One yako alafu uwakute wenye hizo Div 3:14 na watakukimbiza mpaka uombe wakufundishe.
Umejishusha sana aisee.kupata one...
Kama walivyokuelekeza wadau wengine wapo sahihi kabisa.
Angalizo tu nakupa MUCCoBS elimu yake mziki ndugu yangu asikwambie mtu and hamna corse rahisi pale so pamoja na mishe mishe zote but jiandae kwenda kusoma kweli
Dola 250 kwa hoteli kubwa ni pesa ya kawaida sema wabongo tukijiangalia hali zetu alafu tukiitafsiri hiyo pay ndo tunaanza kuongea sasa.
Je alikuwa kaenda kikazi au mapumziko?
Hi
Hivi ni kwanini wanawake wengi wa Kibongo wanapenda kupigwa bao nyingi katika mambo ya sita kwa sita?
Wenzetu wazungu wanapenda goli chache labda mbili but ziwe za uhakika je
Vyakula tunavyokula vinachangia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.