wapendw kwema!, Leo saa 7 mchana nilikuwa nackilza DW nikasikia kuwa Serikali ya Tz Imewafukuzi nchin wafanyakazi wa Kampuni ya madini ya Acacia ...ila skuelewa vzuri
.MWENYE taarifa sasa na za kina naomba anijuze jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana kitu nmewahi kufanya kaz na Dada mmoja kuto Kenya mbona alikuwa nipga bao hata ngel...nakumbuka kuna cku aliniulza ...ushirika maana yake ni nn kwa kiingereza? Ingawa yeye alikuwa meneja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwanasheria mzuri ila tatizo kuwasilisha jambo huwa anawasilisha kwa mrengo wa kisiasa zaidi kuegemea upande mmoja
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.