Nawasalimu wana jf? Mimi bwana nimeanza kutumia hii huduma ya dstv mobile ya vodacom, na huduma hii walivyotangulia kutangaza, walisema huduma hii ni bure, lakini cha ajabu ninapotazama channel zile walizoanisha, nikiangalia salio nakuta imefyekwa' duu! Nilipojaribu kuwapia nakuwaleza tatizo...
Vp wana JF, Naombeni mnielimishe katika hili, nimekuwa nikienda dukani kutafuta simu flani eg Nokia 5800 music express nikaambia tuna simu ya mchina original! Nisaidieni hivi kweli kuna simu ya nokia ya mchina original? Nisaidieni kwa wanaofahamu nishaurini ninunue au la?
Tunashindwa kukuelewa mtori! Lazima uheshimu kile ambacho kinakupa furaha maishani mwako, kama umeona kutooa ndicho kikupacho furaha, is okey! Ila kila ujue kuwa kila kitu hupangwa na mungu , hata uzee utaishije? Mungu ndiye anajua, kutokana na sababu walizoeleza wenzangu kuwa uoe mke ili awe...
Lazima nikuulize? Ww ulidanganya ili iweje ? Lengo lako hasa lilikuwa nini. Mi nahisi huyu binti anakuacha kwa sababu ulishindwa kuwa mkweli kwake katika eneo moja tu la umri, hivyo anahisi utakuja kumdanganya tu katika maeneo mengine. Hivyo nakushauri kaka, jifunze kuwa mkweli kwani mwisho wa...
Wanajamii forum hamjambo wote! Safi. Kuna hii iliyoanzishwa vodacom dstv mobile ambayo inakuweza kuzama channel zipazo 5 kwa njia ya streaming video kwa sasa, hasa kwa wale wenye simu yenye uwezo wa 3G pamoja na real player. Sasa nilijaribu kutafuta huduma hii kwenye simu yangu ilikataa. Hata...
Habari wanajamvi, ningependa kufikisha kwenu ili nijue hasa uchumi wa nchi unapimwa kwa kutumia vigezo gani hasa, kwa sababu huwa tunaambiwa tanzani a ni nchi masikini angali ina mali asili za kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.