Waziri wa uchukuzi amemsimamisha mkurugenzi mkuu wa Bandari-TPA NDG Ephraim Mgawe pamoja na wasaidizi wake wawili kwa tuhuma mbalimbali zinazowakabili... wengine waliosimamishwa kazi ni meneja wa mafuta ya ndege kurasini,meneja wa JET NA meneja wa OIL TERMINAL Kutokana na kosa la kupotea mafuta...
Hatimaye aliyekua mkuu wa shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Arudishwa kazini. habari ni uhakika kutoka kikao kinachoendelea kati ya PAC, WIZARA NA BODI YA TANESCO. seems huyu Eng alihujumiwa kisiasa.
My quote. Kuna haja ya kuwa na bodi kama hii
[QUOTE=binti ashura;3707636]ndugu zangu ni muhimu sana wote tushiriki katika uandaaji wa katiba mpya! itakuwa jambo la muhimu sana iwapo kila mwananchi mwenye ufahamu atoe mchango wake wa mawazo ili katiba itakayoundwa isiwe na vilakavilaka. mie ningependekeza hata kama wewe unanafasi fulani...
mtoto wa nje wa familia ya mwalimu kama alivyonadi mzee wetu,baba yetu Beny, ameleta balaa kubwa sana Arumeru, navyokuambia hivi sasa kuna kikao cha siri cha wanakamati ya uchaguzi ya CCM wakitafakari nini kilichotokea, wanalaumiana wao kwa wao.
"vita vya panzi furaha kwa kunguru"
Nijuavyo huyu baba hana mtoto wa kiume na hana mtoto mkubwa mkubwa wa kuajiliwa.
Kwanini usifanye uchunguzi kwanza kabla ya kulletea jamii tetesi zilizo kaa kiumbea umbea?
are u sure unawafahamu watoto wake wote,hadi wa nje ya ndoa.acha zako bana, ucijiamini katika hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.