Hlw
Naomba msaada wa kujua jinsi ya kupata vyuo vya afya vya selikali, Diploma in nursing, dada yangu alimaliza form six mwaka jana na kupata divion three 15-CBG. Mwaka jana ameomba awamu mbili kupitia nacte(online) alikosa tukajua amechelewa, mwaka huu mwez wa5 post zilivotoka tu akaomba tena...
Mimi Nakereka sana na hii kitu.
-Yaani mtu akienda shule hasa level za juu anajiona kamaliza dunia kweli yaani kila kitu anajua yeye.. Mimi naamni usome usisome lengo letu sote kutafuta pesa maisha.. sasa unamkuta mtu ana kadegree kake uchwara anaanza kuvimba.
-Soma ukose ajira kwenu...
Helow,
Naomba msaaada kwa hii kitu inanitesa.
Iko hivi;
Kuna msichana nilianza nae mahusiano 2015 mwezi wa7 kipindi hicho ye yuko shule mi niko kitaa, baada ya kuhitimu mwezi wa11 akarudi kwao mkoa.
Baada ya kuwa kule kijijini akampata mshikaji mwingine huku akiwa na mawasiliano na mimi mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.