Hawezi kuwa na ufanisi kama kipindi kilichopita, nyakati hizi mataifa ya kiarabu wamewekeza kwenye teknolojia ya silaa ukilinganisha na kipindi kilichopita, saiz Syria na Iran wa mfumo wa kujilinda wa angani kutoka urusi S-400 wazungu wanauita fighter jet killer na ndio maana saiz Israel...
Kwa mtu kama slaa kukaa pemben bila kushirikishwa kwenye mambo ya maendeleo ya nchi yetu ni dhambi kubwa, Dr. Slaa ana mambo mengi sana kichwan ambayo nchi hii inayaitaji, nipende kumpongeza mheshimiwa rais kwa kumchagua kuwa balozi Ila namuomba ampeleke kwenye nchi ambazo zina uwezo kiuchumi...
Kwa watu wenye hofu ya mungu ni ngumu kufanya kitu kama hicho, hii inaonesha ni kwa namna gan watu waliopewa mamlaka wanavyoweza kuwa makatili wakipata nafasi ya kufanya hivyo
Ungepigwa ww risasi ingekuwa ajali ya kawaida ila mbunge na rais wa chama cha wanasheria kupatwa na tukio kama ilo sio kitu cha kawaida, na ndio maana adi sasa dunia mzima inajua nn kimetokea tz, kama ingekuwa mbuzi kama ww na familia yako mngepigwa hizo risasi nafikir hakuna binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.