Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,523
Mijitu mingine Mingese daima na daima...Laana iwe Juu yao
Wizara ya Mifugo kwa kushirikiana na vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Arusha, imeteketeza kwa moto vifaranga vya kuku wa kisasa 6,400 wenye thamani ya shilingi milioni 12, wanaodaiwa kuingizwa nchini kutoka Kenya kupitia mpaka wa Namanga kinyume na sheria. Vifaranga vilivyoingizwa nchini kinyemela kuteketezwa
My take
Hizi si akili za kawaida hakika, na huenda nchi hii hupata laana kutokana na baadhi ya viongozi kama hawa. Unachoma kifaranga kwa maana gani? Hii siyo haki kabisa na ni ukatili kwa kiumbe hai kisichokuwa na hatia wala utambuzi.
Sifa zingine za kutaka kuonekana mtu unafanya kazi kwa bidiii mwsho wa siku ni Umaku kama huuu..Sina tu kauli ila sijui yani.