Nyie mnataka katiba ipi mkuu? Katiba itakayomtaka Rais aingilie Uhuru na utendaji wa mahakama? Katiba itakayomtaka Rais aingilie utendaji wa bunge na kuwaondoa wabunge Kama mnavyotaka kwa Mh. Rais Samia aamuru etii akina Mdee wafukuzwe bungeni?
Alimshinda Magufuli? Kiaje mkuu? Mbona aliufyata Hadi alipokufa ndio akaenda kusherekea? Na mbona hajitoi gerezani Kama Ni mwamba kiasi hicho? Je yeye ndiye alomuua Hayati JPM au unamaanisha Nini kusema alimshinda?
Wanabodi,
Hakuna mwanadamu aliyekamilika kabisa hapa duniani.
Hivyo nawaomba vijana wenzangu tujifunze kujikubali kwa kujikosoa na kukubali kwamba hata sisi tuliwahi kufanya makosa au madudu ambayo yalisitahili adhabu kabisa, lakini kwa sababu ya Kona tuliyofanyia madudu yetu hayo haikuwa na...
Ndio maana nawasihi, tusisukumwe na hisia Wala hasira nawasihi Tena na Tena Rais wa nchi Ni taswira ya taifa lake, na sisi ndio tunatakiwa tumng'arishe kwa kumkosoa kwa staha na weledi, maana kwa Sasa Kila mwenye smartphone anaandika tusi au Jambo linaloonyesha kwamba watanzania hatuna maadili...
Nadhani ni busara sana kwetu Watanzania tukajikita kuchambua Sera za nchi na mwelekeo tuutakao kwa taifa letu kwa kuiweka mbele taswira chanya ya taifa letu.
Ni mbegu mbaya Sana ikiwa tutaendekeza kutengenezeana timu zinazojiita majina yanayotukuza kiongozi mmoja huku yakimdhalilisha na...
Mkuu, usiingie kwenye mtego huo
Maana ukianza kuwajibu kwa hasira na lugha Kama hiyo utafanana nao waliokosa heshima mkuu wangu
Mjinga akikutukana mbele za watu, mtazame na utabasamu, atajidharau sana
Wanabodi,
Nawaomba Sana na kuwasihi Watanzania wenzangu tuitunze na kuienzi tunu yetu ya taifa inayoakisi malezi na maadili yetu ya kitanzania ambayo Ni heshima na uungwana kwa binadamu wenzetu.
Hivi karibuni kuna magenge yanazuka mitandaoni yakimkosoa Rais wa JMT Mh. Samia Suluhu Hassan, kwa...
Ni siku ya tatu sasa tangu nguzo zimeanguka hapo mombo na kila linapoulizwa watu wanajibiwa kwamba eti head ofsi imekataa kutumia nguzo zilizopo kwa sababu zina kazi maalum, pamoja na hayo kila tatizo la nguzo likitokea hapa huchukua week nzima kudhughulikiwa.
Je, meneja wa Tanesco mkoa wa...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naiandika Makala fupi yenye mighani mifupi inayotafakarika na kubayanishika.
Baada ya uchaguzi wa 2020 vyama vya upinzani viliibuka na malalamiko na matamko kadha wa kadha wakilalamikia mfumo wa uendeshaji wa uchaguzi mkuu 2020.
Walidai...
Unaposema mwendo WA dakika 30, huoni Ni uongo maana watu wanatofautiana ukubwa WA barua na mwendokasi WA kutembea?
Weka kwa kipimo cha kilomita ngapi tokea hiyo round about na sio dakika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.