Shhh, tatatibu acha hasira. Tuwashauri pia kuhusu jina la akaunti mimi si mwanasiasa lakini wangetumia jina la akaunti lisilo na mwelekeo wa chama ingefaa zaidi. lissu ni mtu muhimu kwa taifa ukiachilia mbali haki ya kuishi kama raia wengine.
Samahani Dada yetu wanaume tuna makalio na si kalio nafikiri tavauti ni kubwa sana hapo.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jf doctor. Ninayo furaha kubwa sana kuwajulisha na kuwashukuru wote kwa wawazo yenu nilipoleta tatizo langu la kichwa. Wengi mlinishauri kuwahi hospitalini, nilifanya hivyo lakini nilikwenda Muhimbili badala ya private baada ya kusikia wameboresha huduma. Nilifanyiwa ct scan ya...
Wanaokejeli usiwajali al ustadh, utakuta wako pembeni na hartiti, si unajua mtu hataki kuonekana ana kibamia. Wewe ona tu watu wanavyotiririka ndio ujue umewagusa.
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Nitoe shukrani zangu kwako mtaalam kwa msaada unaotupatia. Nami pia ni mhanga wa matatizo ya ndoa na nahitaji msaada wa haraka. tatizo langu limeanza tangu nimeanza kuishi na mke wangu (sipendi kumwita hivyo) yapata miaka karibu 9 hivi iliyopita japo miaka ya ndoa ni 6. Kwa ufupi mke wangu huyu...
Kuwa mwelewa ndg, nimeeleza hayo ili muweze kujua ukubwa wa tatizo au kwa kiasi gani nimeshindwa kufanya mambo ya maana kutokana na tatizo. Wewe unahisi ni sifa kwangu kwenda udom na kushindwa kuendelea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.