Haya ni mapokezi ya mgombea Urais wa CCM ndugu Mwinyi na leo mgombea Urais wa ACT wazalendo Maalim Seif huko kisiwani pemba.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Habari zenu.
Kwa wale wanaoelewa naomba msaada WA utatuzi WA machine yangu ninayofanyia kazi Kwa kujipatia riziki.
Nina machine yangu ya ice cream huu ni karibu mwaka WA nne. Imeanza kuniletea shida lakini mpka sasa bado nahangaika nayo lakini utatuzi WA tatizo bado sijalifahamu.
Leo ni kama...
Habari zenu ndugu na mnaendeleaje na hali huko mliko?
Niende moja kwa moja kwenye mada naomba msaada WA kuweza kuficha app kwenye simu YA android huku inafanya kazi.
Na jee nawezaje kuifichuwa pale ninapohitaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usivunje uhusiano na mtu sababu tu umegundua kuwa sio rafiki. Kwenye maisha hatuhitaji marafiki tu bali tunahitaji watu wote.
Kila mtu atakufaa kwa namna tofauti,hata wale wasio marafiki kuna kipindi watakufaa.
Sio kila mtu atakufaa kwenye biashara au kipindi unatafuta kazi na sio kila mtu...
Habr zenu wakuu.
Natanguliza shukran kwa wote muliojukwaan.
naomba ufafanuzi Wa galaxy note edge kuna Rafiki yangu anauza hii simu kwahiyo sijawahi kuzitumia hizi simu.
Kwahiyo naomba nieleweshwe juu ya ubora Wa hii simu nataka kuinunua kwa mitikash 15500 nikiasi kama cha shilingi laki NNE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.