Habari,
Naendesha utafiti unaohusisha utafutaji wa taarifa mtandaoni kwa lugha zaidi ya moja (multilingual Web searching) ambapo utatumia search engine (ya majaribio) inayosupport lugha MBILI i.e. unapata majibu kwa lugha mbili; English na Kiswahili.
Kushiriki ni rahisi sana; ukifungua link...
Hakujawa na utafiti wa kutosha na wa muda mrefu kufanya hitimisho wazi kama mionzi kutoka simu za mkononi ni salama, lakini kulikuwa na data za kutosha kuwashawishi WHO juu ya uhusiano uwezekanao.
Simu za mkononi hutumia mionzi isiyo-ionize (non-ionizing radiation), ambayo haiwezi kuleta...
Habari za jioni ya leo...
Naombeni msaada wa kujua majina ya maduka ya Computer (Laptop) jijini Dar es salaam ambayo yana bei cheap (up to 600,000 TShs) kwa laptop mpya.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.