Mshana ,Upewe u Doctor , mambo uliyo andika ni mambo mazito mno na ndio chanzo cha maadili kuporomoka pia ni chanzo cha umasikini na watoto kukosa malezi bora pia jamii kwa ujumla kuwa varaganti,
Tatizo lako wewe ni rahisi sana lakinilinahitaji utulivu sana wa hali ya juu,
Kutokana na maelezo yako na chanzo cha tatizo ambalo linakusumbua hivi sasa dawa yakeiliurudi kwenye haliya kawaida niku SAMEHE , MSAMEHE ALIYEKUTENDA, msamehe kabisa ona kama haja fanya makusudi kukutenda nibahati...
Hivi nchi niya viongozi au wananchi? Kama niya viongozi mbona wanakuja kuomba ridhaa kwa wananchi kuongoza nchi? Kama niya wananchi mbona viongozi wananyanyasa wananchi kwenye mambo ya msingi
Hakuna kitu kizuri kama mtu kujiridhika na maisha yako kuliko kuishi kwa kuazima azima vitu vya watu vyenye dhamani kubwa , ikitokea la kutoa mtu una hunya hunya tu aibu kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.