Ujirani mwingine ni kero tupu

Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Mlipishe tu, akiazima kizima kikirudi kibovu dai kizima ataacha mwenyewe
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Ukimuazima mke ndio usahau kabisaaa
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
anaazima anaazima bado anaazima.. unamuazima TU!
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu

Eneo unalokaa ndo shida, sio majirani, kama unaona sio eneo sahihi kwako, we hama, hamia kidogo chumba cha 65,000, hicho cha 30,000 lazima mshirikiane!!!!?? Ndo ujamaa kama tulivyoagizwa kwenye azimio la Arusha.
 
Jirani yako yupo humu?
Nipo hapa,


Cha kushangaza huyu jiran yangu anazungumzia mapungufu yangu tu lkn ya kwake hayasemi kwa mfano mara kibao tu anakujaga kusonga ugali ktk gesi yangu akidai ya kwake imeisha na akimaliza hasafishi jiko na kila asubuh ananikurupusha nimpe lift ktk Toyota stout yangu ya mjin haijalish ninaratiba ya kutoka mapema au sina


Alitembelewa na nduguze walikuwa wanalala kwangu mwez mzima na muda mwingine misos nawasevia lkn mzee mzima nimekula buyu sijamwambia yoyote yule
 
Back
Top Bottom