Pata ramani Kali kabisa na ujenzi wa nyumba za kisasa kabisa kutoka mbeya tuko ccm mbeya karibu na mikumi lodge
Piga 0689993661
Wasap 0766195115
Email: sirajimsilanga55@gmail.com
mfumo wa VFD SYSTEM ni mfumo wa utoaji receipt za tra ambao ni mpya na ushaanza kufanya kazi Tanzania ambao mfumo huu mfanya biashara ataunganishiwa kwenye simu yake au computer kwa kufanya installation ya app ya vfd system.
Na mfanya biashara ataweza kuprint receipt za tra kwa kuunganisha...
Pata ramani nzuri na za kisasa zaidi
Kwa wachoraji waliobobea katika maswala ya uchoraji ramani na ujenzi pia tutakupa ushauri kuhusu maswala ya ramani na ujenzi kwa ujumla
Mawasiliano :0678195114
Email: sirajimsilanga55@gmail.com
Husika na kichwa cha habari hapo juu mabati 200 kwaajili ya uzio au fence yanahitajika Mwanza mjini mwenye nayo anicheki kwa hizi number 0678195114 au 0689993661.
Realme estate ni kampuni Ya kizalendo inayotao huduma za ujenzi Kwa gharama nafuu kabisa inayotumia mafundi wenye weledi na walio bobea Katika maswala Ya ujenzi Wa Nyumba za Aina zote Tanzania Bara na Zanzibar Na tunachora Ramani za nyumba na tunatumia materials yenye quality na yanaendana na...
Karibuni Sana Kwa SIMU za Samsung na IPhone original kutoka USA Kwa gharama nafuu kabisa tutakutumia Kwa uaminifu mikoani
Piga 0766-195115
Email :sirajimsilanga55@gmail.com
Karibuni Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kujua translation yani kubadilisha maneno ya kingereza kwenda kwenye kiswahili kwa ukurusa mmoja inaweza kugharimu kiasi gani cha fedha shukran sana
Location:Nyanguge ni barabara kutoka Mwanza mjini kwenda Musoma km 30 kutoka Mwanza mjini
Lifaa kwa ujenzi wa shule,hoteli,ufugaji nk.
Pana mawe tripu 200
Pana Nyumba vyumba vitatu kama stoo
Pia pana mabwawa matatu ya samaki kila moja lina ukubwa wa mita 80/40 umbali kutoka kwenye maji ni mita...
Ndugu mpendwa husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu
Eneo la ziwani hekari 20 linauzwa Mwanza Nyanguge uelekeao ni Barabara ya kwenda Musoma ni km 30 kutoka Mwanza mjini hadi site.
SIFA ZA ENEO
1.Eneo ni zuri na kubwa na lifaa kwa kufanya jambo lolote utakalo kama vile ufugaji na...
Husika na kichwa cha habari hapo juu eneo la ekari 20 linauzwa Mwanza magu maeneo ya Nyanguge eneo lipo mita 70 kutoka ZIWANI na ni zuri sana kwa kilimo pia kwa ufugaji HASAHASA wa SAMAKI
Pia eneo hili lina sifa zifuatazo
1.Nyumba ya vyumba vitatu
2.mambwawa matatu kwa ajili ya ufugaji wa...
Uncle Nelly farms ni jina linalotumika kuendeshea shughuli za kilimo hapa Tanzania,Tunapatika Mwanza kama Makao Makuu yetu,Ila shughuli zetu za kilimo tunaziendeshea ndani na nje ya Mwanza kwa sasa tumesha anza kuwekeza katika mikoa ya kigoma - muhogo,Tabora -mpunga,kagera-mahindi,na tumeanza...
Wakuu Karibuni sana kwa ujenzi bora wa Nyumba katika kampuni ya kizalendo ya AL-BALWAN INVESTMENT COMPANY LIMITED
ni yenye mafundi wenye weledi na walio bobea katika maswala ya ujenzi bora wa shule,majengo ya biashara kama vile mahoteli na ofisi
Pia waweza kutupata kupitia
E-mail: in final...
Ni manual(diesel) 2004 ishalipiwa ushuru wote haidaiwi kitu chochote mile age yake ni 116.990km bei yake ni 18 million
Piga number 0766-195115 kwa mawasiliano
Ahsante sana na karibu sana.
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo
Tunauza asali nzuri kabisa iliyombichi ambayo haijachanganywa na kitu chochote ambayo inakuwa nzuri kwa afya yako ambayo inauwezo wa kukuondolea maradhi mbali mbali katika mwili wako
Kwa mfano:
1.kukuepusha na uvimbe tumboni
2.kuku epusha na vidonda vya...
Miliki kiwanja kizuri chenye hati
Na kwa gharama nafuu
Barabara zimechongwa
Maji na umeme vinapatikana
Vipo katika mikoa ifuatayo:
Dar(vipo kigamboni maeneo tofauti tofauti.
Arusha(murieti dampo,East African road,mkonoo,marombo,bonny city na Intel.
Mwanza(Buswelu maeneo ya mbogamboga
Hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.