UTANGULIZI
Salaam na Amani ziwe nanyi, Karibuni katika mnakasha huu utakaojikita katika mbinu za namna ya kuutengeneza na kukuza uzalendo,
Imani yangu mnakasha huu utaleta fikra chanya za kuujenga uzalendo. Tenga muda wako kuungana na mimi katika huu mnakasha, naamini utajifunza mengi kuhusu...
Briefly, Nachokiona apo ni kubadilika kwa mifumo ya maisha ikichangiwa na sera za ujeuri za mwanamke kutaka kuwa sawa na mwanaume, wanataka kuwa huru nowdayz ni rahis mdada kusema me shida yangu nizae tu ayo mengn nitadeal nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.