Wakuu habari za siku.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 ni clinical officer (afisa tabibu)naomb nafasi ya kazi kwenu ninyi niko tayari kufanya kazi hospital, pharmacy,NGO's or anywhere my knowledge will be applicable.
Asanteni niko active immediately endapo nitahitajika...
Wasaalam wakuu
Mimi ni kijana wa miaka 28 clinical officer Niko mbele yenu kuwaombeni msaada/opportunity connection ya kupata kazi,naamini wewe usomayo bandiko hilo una moyo wa kusaidia kimawazo au connection au kuajiri kabisa
Nina uwezo wa kufanya kazi idara nyingi na Nina uzoefu wa kutosha...
Wasaalam wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 27 Mhitimu wa kozi ya Clinical Medicine nimehitimu mwezi wa 2 mwaka huu, naombeni Kwa unyenyekevu mkubwa nafasi ya kazi popote pale ndani ya Tanzania.
Najua tupo hapa kupeana mawazo na kusaidiana changamoto mbalimbali,hivo Kwa yeyote mwenye taarifa za...
Habari bandugu,hili linahusu wale wapenz wa raba wanaotaka kufanya biashara,karibuni nauza raba hzo hapa chini kwa bei nafuu kabixa,nauza kwa bei ya jumla kuanzia piece 20 na kuendelee
Bei sh 5000 kwa piace moja,karb pm kwa anaehitaji
N.B.Raba ni special sio mtumba
Msongola training institute inakupa nafasi ya kutimiza ndoto zako kama kijana,kwa kudhamini hilo chuo kinatoa kozi elimu kwa gharama nafuu
CHUO KILIPO
Chuo kipo manispaa ya ilala jijini dar es salaam
2.Kwa wanaohitaji kujiunga na Certificate
MFUMO WA ADA
Chuo kinatoa nafasi ya...
Habarini wadau,tangazo kwa wote wanaohitaji kusoma certificate and diploma in clinical medicine na kozi ya mwaka mmoja community karibuni Msongola training institute,chuo kipo Msongolo ilala dar es salaam ,karibu chuoni ujaze form ujiunge mwezi oktoba
MAWASILIANO
0621149472
Post sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.