Karibu usome Diploma and Certificate kwa bei nafuu

Karibu usome Diploma and Certificate kwa bei nafuu

Classics

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
203
Reaction score
369
Msongola training institute inakupa nafasi ya kutimiza ndoto zako kama kijana,kwa kudhamini hilo chuo kinatoa kozi elimu kwa gharama nafuu

CHUO KILIPO
Chuo kipo manispaa ya ilala jijini dar es salaam
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4f974c543dc6f2867a549dfae9282042.jpvilivyo

KOZI ZITOLEWAZO
Chuo chetu kinatoa kozi zifuatazo

1.Diploma in clinical medicine(3 years)
2.Certificate in clinical medicine(2 years)
3.Community health (1 year)

VIGEZO VYA KUJIUNGA
1.Kwa wanaohitaji kujiunga na Diploma[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/18cc0342200a13ab95273c126cbd3c40.jpg
2.Kwa wanaohitaji kujiunga na Certificate
c9c82bae74aa08598a72059b7dd7335f.jpg


MFUMO WA ADA
Chuo kinatoa nafasi ya kulipa ada kidogo kidogo ikizingatia hali ngumu ya maisha kwa sasa utaratibu umeainishwa kama ifuatavyo
33acee50f903338079d2b338db4bf953.jpg


USAJILI WA CHUO
Chuo kimesajiliwa na nacte kama inavoainishwa
4e9b3fea0d42aecc5ca2897a37a29e6b.jpg


MAKTABA NA MAZOEZI
Chuo kina maktaba kubwa ya vitabu na pia kina maabara nzuri za wanafunzi kujifunzia ili kujinoa kuwa wahudumu wazuri wa afya

WAALIMU
Chuo kina waalimu wa kutosha waliosheheni taaluma murua,chuo kimeajiri baadhi ya madactari bingwa ili kuwanoa vijana vilivyo

MALAZI
Kwa kuzingatia umuhimu wa malazi chuo kinatoa huduma ya malazi kwa bei nafuu kabisa ya sh laki moja kwa miezi sita

HITIMISHO
Karibuni Ndugu Jamaa na marafiki Msongola training institute hasa katika kipindi hiki ambacho wahudumu wa afya wanahitajika zaidi

MAWASILIANO

Makamu mkuu wa chuo
+255759021432
Asanteni nyote karibuni waweza kupiga simu na kupata msaada mda woote,karibuni dar es salaam karibuni msongola

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Be first to reply

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom