Niko kwenye gari mda huu,natoka kumzika mama mmoja jirani,alikufa na kansa ya ziwa,ni huzuni kweli,hebu wanawake mfanye check up kwenye maziwa yenu kila baada a mwaka mmoja,na bila kusahau kichunguza saratani ya shingo ya kizazi kila baada ya miaka 3
Shida yako ni utoto na umeshindwa ku move on,ukiona hamuendani mwanamke achana nae mambo ya sms sijui ya mwisho inadhihirisha utoto wako,umetumia nguvu nyingi kwa sababu hukupendwa,Leo unajidai kumwacha wakati wewe ulishaachwa siku nyingi
Nasikitishwa na wadau wa Simba Kumtetea Gabachori,uwizi wake uko dhahiri kabixa,mambo mengi ni Siri,ukiuliza bil 20 anakuwa mkali,matangazo ameweka kwa jezi kwa mkataba ambao haueleweki,binafsi siwezi kuvaa jezi ya Simba yenye matangazo ambayo hayaeleweki,siwezi kuwa sehemu ya upuuzi,Gabachori...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.