Wanafunzi wenyewe wame-cease kuwa visima vya fikra-endelevu, kuwa watu wa kuigwa na pia watu wenye upeo wa kuona mbali.
Hatua ya kuwapiga bakora wanafunzi wenzao au uvunjifu wa amani ni hatua zionyeshavyo upeo wa hao watoto!
Kama wana-act kama primary school children, na wao ni lazima...
Openings kibao zipo.
financial analysts wanahitajika kwingi tu. Kwenye Public institutions mpaka uone tangazo (kama ni mtoto wa mlalahoi).
Private financial and commercial institutions zipo nying hivyo ni kujinadi tu.
Coys. kama Pricewaterhouse.., Delloitte, KPMG etc. zipo na zinaajiri...
Maafa haya ni matokeo ya Polisi na hospitali ya Muhimbili kutotekeleza wajibu wao ipasavyo.
Huyu kijana alipelekwa pale na Mch. Lwakatare baada ya kudai kuanguka kwenye ungo! Bila ya uchunguzi wa kutosha wakamwachia. Haijapita muda kaua mtoto wa miaka 3. Shame on u!!
Lakini, ni lazima tukubali - maamuzi muhimu na mazito kwenye mustakabali wa Taifa yanahitaji uangalifu mkubwa esp. kwa nchi kama yetu ambayo, kwa bahati mbaya kabisa, raia wake wengi hawaelewi ni nini kinachohitajika kuleta mabadiliko. Uongozi kuchukua hatua, ambazo licha ya kuwa stahili...
Hii ni shule ya nne katika kipindi kifupi - zingine ni Lyamungo, Chidya, Bagamoyo.
Hii ni dalili ya matatizo yaliyopo katika sekta ya elimu kwa ujumla. Lakini, zaidi ni kwa watoto wa walalahoi - kwani zote hizo ni za serikali (na ziko meant kwa wale wasioweza kwenda kwenye Academies)
Mimi ni mgonjwa wa PUMU kwa muda mrefu. Madawa ambayo nimekuwa nikitumia, miaka nenda rudi, ni aminophylline na ephedrine.
Je, hakuna ugunduzi wa dawa nyingine uliofanyika katika kipindi chote hiki? Ningeomba unieleze wapi zinaweza kupatikana.
Hali ya hatari, mara nyingi, huendana na mambo yafuatayo:-
a. Utawala wa amri (ki-imla)usiozingatia au kuheshimu sheria;
b. Kufishwa kwa uhuru wa vyombo vya habari;
c. Kuundwa kwa tribunals kuchukua mahali pa mahakama;
d. Uongozi wa nchi kutegemea mawazo na utashi wa viongozi waliopo...
Maghala yapi? Si tulishauza/kuyatelekeza zamani. Vihenge (silo)nazo ni hivyo hivyo.
Matanki! Nenda pale TIPPER uone yanavyooza baada ya kutelekezwa kitambo. Sidhani kama nchi tuna sehemu ya kuhifadhia mafuta. Kwanza hio strategic reserve ya mafuta ni msamiati mpya na haipo kwenye policy au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.