Hivi kabla ya kuandika huwa tunakuwa tumepata taarifa au. Hayo majadiliano na watoa huduma si yamefanyika kwa takribani miezi 8..NHIF ilipotaka kuanza kutumia huo utaratibu mpya si Waziri alisitisha ikabidi warudi kwenye meza ya mazungumzo sio peke yao bali awepo mediator ambayo TIRA ilihusika...
Nipo tayari kupambana endapo kuna kitu kizuri.. Naweza nisiwe na kiasi fulani muda huo lakini nikakitafuta kufuatana na uzuri wa bidhaa. Nipo flexible nikishindwa nitakwambia hiyo siwezi. Hivyo unaweza kunishirikisha ili mimi nijue naiweza au laa.
Hiyo ndio kampuni naitumia siku zote hata jana imenisafirishia mzigo mkubwa sana from Kariakoo mpaka huku mkoa wa?? Mzigo ulipakiwa juzi jioni nimepokea jana saa 8 mchana... Ila ungefika asubuhi Changamoto ni mvua kuathiri barabara.
Asante sana kwa kunielewa na kutaka kunisaidia. Una moyo wa kipekee sana.
Suala la bajeti nipo flexible ingawa sio kwamba nina uwezo hapana ila kitu nikikipenda na likawa hitaji hasa la moyo huwa napambana mpaka nikipate.
Mimi sina starehe yeyote zaidi ya kutulia nyumbani baada ya majukumu ya...
Hivi mkuu hizi vizio sound bar mtumba zinazotangazwa na kuuzwa na baadhi ya watu zipoje??
Mimi nahitaji music mzuri mzito lakini mtulivu sio makelele hasa kwaajili ya kusikiliza classic music., kwaya zile zilizoimbwa kwa viwango vya juu kabisa, sauti zote nne zisikike, vyombo kiasi, maneno na...
Kila upatapo faida nzuri wekeza kwenye kitu kingine cha kudumu ili hata huko mbele yakitokea mabadiriko yenye kuathiri biashara yako au afya yako hutaathirika sana maana utakuwa tayari una kitega uchumi kingine cha kudumu kisichotegemea sana ushiriki wako na muda wako wa moja kwa moja
Mf...
Link tena ndugu.. Hao ninawaheshimu na kuwapenda, tunawaombea daima wapate wenzi wema maana na wao kutokana na malezi bora ya kijamii na kiimani wanakusudua kuwa wake bora na wema. Kwa wale wenye nia njema wanione faragha.. Nitawapa mawasiliano.. Lakini nipo tayari kuwapokea kama wageni wangu...
Upo mkoa gani?? Ningekuelekeza kwa mabinti wacha Mungu wanao sali kwaajili hiyo hiyo. Ni waadilifu wenye nia na dhamira safi.. Uniniulize nimejuaje.. Nina maanisha ninachosema.. Wamelelewa kwa malezi bora.
Wendo.. Kigogo.. Wende kibena.. Maana yake upendo au huruma za Mungu.
Madovena... Kingoni.. Nimesahau maana.
Lusungu... Ni kihehe na kibena maana yake Huruma. Ni jina la kiume.
Atu.. Atupele.. Kibena, kihehe, sijui kinyakyusa.. Maana yake alitupata ni Mungu.. Jina la kike.
Anosisye.. Amependeza.
Aisee katubu ndugu. Kumbe ni kwaajili ya Misa mmh. Kuna kitu juu ya hizo misa za marehemu hukijui kabisa. Na umeleta huku ili watu watukane na kukufuru.
Kwanza hiyo sadaka ya pili huwa wanapata sh ngapi??
Na yote ni kutokana na ubinafsi wa wafiwa kujifikiria wao tuu, uchungu wao tuu kama...
Ndivyo ulivyo na unapaswa kuwa hivyo, kwa sababu upo hivyo na nakuhakikishia wakati wa kufa kwako NENO LA MWISHO UNAPOKATA ROHO LITAKUWA NI TUSI na utakumbukwa na waliobaki kwa hilo.
Umeendeleaa umeniita idiot kwa una ji prove mwenye wewe kichwa chako kipo... Ni matusi tuu ndio yaliyokujaa kichwani na ndio yalioujaza moyo wako, na ndio maisha yako ya kila siku..
Sasa mbona unamlaumu Rais kwa lipi kama wewe mwenyewe unajithibitishia mwenyewe ndio upo hivyoo.
Kwa nini...
Eeheee umesema nini jinga kabisaaa nadhani umenielewa.. Hatupo tayari kukosolewa ila sisi tunataka ndio tuwe wakosoaji tuu na matusi juuu.
Hatupo tayari kuvumilia maoni tofauti na yetu ila tunataka wengine wavumilie tuu
Ni maajabu makubwa na ndio kizazi kilichojaa Tanzania upeo finyu mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.