Salaam wanajf,mimi napenda sana macomputer,natamani sana kusomea na kufanya kazi kwenye macomputer,nishaurini kozi nzuri na chuo kizuri naweza somea.nipo Arusha.
Hii inakuaje? nikiweka line ya airtel then nikiopen youtube inaniandikia no response,try again.ila nikiweka line ya voda ina open vizuri,natumia nokia c2-01
Bila shaka wazima wote,nina milioni moja ambayo nataka kuanza kukopesha watu,mikopo hiyo na mpango wa kukopesha wanajamii wanaonizunguka,nataka kujua ni riba asilimia ngapi niweke,kiwango cha chini cha mkopo kikiwa 50000,pili muda wa urudishaji niupangeje?
Wakuu naombeni msaada wa hatua za uanzishwaji,uendeswaji na ununuzi wa vifaa vya saluni ya kiume,nina 1.5mil.nipo Arusha,zingatio. chumba,umeme wa tanesco,maji nnavyo.
wakuu hii habari niliskia bbc,kwamba huko kenya wanapata mwanga wa taa kwa kutumia chupa ya maji,sasa nauliza kuna mtu ameona hii kitu inavyofanya kazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.