Nipo karibu na ngurudoto ila mkuu nimesikia kwako. Lini wamekuja mkuu, duh! Kali mkuu angekua mbongo msanii kaenda huko kwao tungefahamu, wenzetu hawana ujinga kweli.
Uyo amo sijui nn, ana jipya watu wanafanya yao yeye kakalia majungu si upumbavu. Yeye aimbe anae jua wasiojua wanaheat kilakukicha kweli nyanii aoni kundule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.