Hivi sisi wakazi wa mwanza tumewakosea Nini TANESCO???
Huu ni mgao au mgawano??
Tuanze na wilaya ya ilemela kata ya kirumba kuanzia Jana saa5 usiku mpaka Sasa alfajir hii hakuna Umeme...Ukipiga simu EMERGENCY hawapokei...TUNAPIGA Tena simu emergency ya makao makuu vile vile sim haipokelewi...
Chonde chonde kwa wakazi wa Mwanza, mgawo ndio umeanza RASMI muda huu.. katika Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza..umeme ushakatwa na utarejea jioni. Jianadaeni na mshumaa Huko wa Nyamagana..
Nawaskitikia wakazi wa Geita, Sengerema na Chato
Bila ya kupoteza muda wanajamvi,Mimi napenda kuwapa pongezi kubwa sana TCCRA Kwa kupiga Pini Site za Ngono mitandaoni...
Na pia nawapa pole saana wale wanachama wa CHAPUTA
Chanjo zilishapitwa na wakati mkuu.siku hizi Kuna New Version..pia nikali mara Tano ya chanjo[emoji124]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Chomoa Deep stick ya kupimia oil ktk hio geabox kisha ifute vizuri hlf iangalie kwa umkini saana hio stiki,utakuta namba za oil hapo zimeandikwa
Kanunue oil hio hio ilioandikwa kwenye hio stick
Nakushauri....ipaki gari usitembee nayo au utaunguza sensa ya gearbox,hapo ndipo mshikemshike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.