Aibu yetu
aibu yao aibu yako mwenyewe hahahaha,jitahidi kwenye unajimu hata marehemu shekh yahya alikuwa anakosea pia,pole bhana,ndio maisha uliyojichagulia so huna budi kupambana na hali yako
Wale kina Ivan wanavyopenda sifa,wangemla huyu zari kipindi hiki yupo diamond hakuna sayar isingejua acha jua,dunia mzima ingejua kwa marefu na ushahidi wa picha kabisa,ktk kitu Ivan kina muuma ktk maisha yake ni haya mapenzi ya hawa watu..so diamond sio fala na hajawai kuwa fala ile ni damu yake
Kwa mfano ikigundulika Makonda hajafoji hvyo vyeti,ni propaganda tu,Gwajima ataendelea kunihubir mm nikamuelewa cos kiongozi mkubwa wa kanisa kusadikisha uongo mbele ya dhabahu na waumin zaidi ya elf 10 tukuite nan mwisho wa siku?Tuweke akiba ya maneno kwa kila jambo cos tutakuja...
Ndivyo ilivyo kila mtu kazaliwa na bahati yake so ukiitumia vyema inaweza ikawa faida kwako ukitumia vibaya itakuletea athar,kuna watu wanampenda adolph hitler pmj na maovu yote aliyoyafanya duniani kwa kuuwa jews 6 mils,kuna watu wanampenda scorpion na ukatili wake wote ule,kuna vitu vinapendwa...
Hii sio jipya,hili tangazo lilitolewa na kigoma all starz,miaka mingi tu iiliyopita,mpaka video yake ipo,wapo wanamzik kibao kina banana,linex,mwasiti,ommy dimpoz,etc etc
Ukiwa mzazi sio vitu vya kuvifurahia,unless uwe kwenye ule umri wa uendawazimu,haya tufanye ni paula yule ww wako unajua anafanywa nini?hv vitu sio vya kushabikia sana,inatubidi tukae tutafakari wapi tunakosea ktk malezi yetu na wtt wetu,fikilia paula ni mwanamke je kama wako wakiume anafanywa...
Haiwezi muuma kwanza hata yeye anashangaa kwann alnalisukuma gurudumu pekee yake,anataka waongezeke na hata wakiweza wampite zaidi yake,wapo sasa ndio hapo anapopata shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.