Mashabiki wa Simba hapo mimi ndio napochoka sijui wakoje, ndio maana mimi acha nishabikie Boma fc

Kuna ukweli fulani hapa
Sijui unajaribu kusema lililona mantiki au mradi umeandika kwa maana hiyo Ajib ni mfungaji bora ,na Okwi anatisha kwani anaweza kufanya tena yale yale . Unajaribu kuonyesha kuwa wenzio wamepotea hii ni kwa manufaa ya NYANGA AFIRIKA au THIMBA SIPORTI KILABU jenga hoja nyingine
 
Sijui unajaribu kusema lililona mantiki au mradi umeandika kwa maana hiyo Ajib ni mfungaji bora ,na Okwi anatisha kwani anaweza kufanya tena yale yale . Unajaribu kuonyesha kuwa wenzio wamepotea hii ni kwa manufaa ya NYANGA AFIRIKA au THIMBA SIPORTI KILABU jenga hoja nyingine
Ajibu hajawa lulu ya kwenda na kurudi km huyo okwi mkuu
 
85d6a7cb31f3fc6067b0017b2022e015.jpg
f0df97a326775fe53e2042f14e0633ea.jpg
ac61259b8f6f3f3ffbbffedadafc10f8.jpg
46c688f091fa01bee6628998db3b1262.jpg
84b3f863257aa1631e03bd14e1505da8.jpg
0c51964e40a79f27938c28f0e7bca6bf.jpg
3be78b8b4f3f595fa57746fb9a2ae3d9.jpg
d9d8e43f96e5cdc1c1d3413e9971bff7.jpg
ed93873ceceffcfb565c1b6a7ff5155f.jpg
9a4215b635f7b7dc79a81bfa3dabbced.jpg
ba035c61175e253dd17c1628e946dd3c.jpg
Ndala mnashida sana,huo wote ni uoga tukutane 19/08 ndio utajua kuna wanaume na wavulana
 
Tufollow Instagram kama kandanda24 kupata updates za soka bongo na barani ulaya Tafadhali sana ndugu zangu nahitaji sapoti yenu
 
Back
Top Bottom