Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Mezani fc......masaaa 72 fcMikia fc...........Mbumbumbu fc........FIFA fc......Rambirambi fc...............Maandamano fc
....watakatishaji fc
Mezani fc......masaaa 72 fcMikia fc...........Mbumbumbu fc........FIFA fc......Rambirambi fc...............Maandamano fc
Sijui unajaribu kusema lililona mantiki au mradi umeandika kwa maana hiyo Ajib ni mfungaji bora ,na Okwi anatisha kwani anaweza kufanya tena yale yale . Unajaribu kuonyesha kuwa wenzio wamepotea hii ni kwa manufaa ya NYANGA AFIRIKA au THIMBA SIPORTI KILABU jenga hoja nyingineKuna ukweli fulani hapa
Ajibu hajawa lulu ya kwenda na kurudi km huyo okwi mkuuSijui unajaribu kusema lililona mantiki au mradi umeandika kwa maana hiyo Ajib ni mfungaji bora ,na Okwi anatisha kwani anaweza kufanya tena yale yale . Unajaribu kuonyesha kuwa wenzio wamepotea hii ni kwa manufaa ya NYANGA AFIRIKA au THIMBA SIPORTI KILABU jenga hoja nyingine
Mkuu hakuna uhusiano ktk hilohuyo okwi mlijaribu kumchukua akawachemsha. hivi ulishapita klabuni kwenu ukaangalie bwawa la samaki na ule uwanja wa kigamboni mliopewa mmeishia wapi
Hahaha cpo yanga lkn hujui yanga yetu ilikuwa na maana ganiKumbe sasahivi Yanga mmeamua kujiita Boma FC, ni jina mzuri lakini hii baada ya jina la Yanga yetu, kuto kuvuma.
Upi msaada wa okwi kwa simba?aliyekuambia kuisaidia timu lazima uwe mfungaji bora nani
subiri ligi ianze utajua umuhimu wakeUpi msaada wa okwi kwa simba?
Mikia fc...........Mbumbumbu fc........FIFA fc......Rambirambi fc...............Maandamano fc
Hahaha cpo yanga lkn hujui yanga yetu ilikuwa na maana gani
Hahaha cpo yanga lkn hujui yanga yetu ilikuwa na maana gani
Ilikua na maana ya Manji na nduguze.Hahaha cpo yanga lkn hujui yanga yetu ilikuwa na maana gani
Ndala mnashida sana,huo wote ni uoga tukutane 19/08 ndio utajua kuna wanaume na wavulana
Tulia wewe kijana.Ndala mnashida sana,huo wote ni uoga tukutane 19/08 ndio utajua kuna wanaume na wavulana
Kuruka ruka kwa maharage/bisi ndio kuiva kwake,let wait and seeTulia wewe kijana.
Nimegundua kwa nini kocha Amog alikuwa anamweka Ajibu benchi pamoja na ubora wake.Ajibu hajawa lulu ya kwenda na kurudi km huyo okwi mkuu