Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,676
- 106,782
Kwahiyo leo umeamua ujionyeshe tukujurBabito kama nakuona vile kapigeView attachment 474925 mswaki basi
Kwahiyo leo umeamua ujionyeshe tukujurBabito kama nakuona vile kapigeView attachment 474925 mswaki basi
Anaweza akawa anakua, ataendelea kubadilika pengine atafanana na diamond, hofu hapa why afanane na Ivan? Mmh Mara mia angefanana na mama yakeAnasaidia nn kulea!!!!! Cjaelewa
Tutamsaidia kumpeleka kwa Ivan, domo asione aibu ndo maishaTeam Madale presha inapanda presha inashuka.
Mpelekeni mtoto kwa baba ake
Japokua mtoto akiwa mdogo huwa anabadilika Mara kwa Mara ila hii ya nillan hapana, why afanane na Ivan kiasi hicho? Mmh tusubiri labda atabadilika, ila zari haaminikiMkuu ongea tu
Labda bara letu lina laana, maana kwa ujinga huu hatuwezi kufanikiwa kama taifa.Uafrika ni mzigo. Bara la matatizo yote..njaa, umasikini, fikra nk ukiachilia mbali rasilimali zilizokuwepo.
Kwahiyo leo umeamua ujionyeshe tukujur
Hee Mbona povu zito hivyo, hebu tia maji kidogoKusoma hujui au?
Kama ni kweli, hii ni aibu. Jinsi Dangote anavyowafanyia promo hao watoto kumbe ni Waganda!Narudia na nilishasema watoto wa simba wanafanana na Ivan. Wako wanaume wanajua hali kama hii na wanamezea ili kuepuka aibu na wapo hawajui wake zao wanahemea nje wanaleta ndani. Kwa huyu wa kwetu inawezekana anajua.
Yan ndo hapo ila kiukwer hlo bonge la bwataa Na watt wa diamond hawana uraia wa tz sabab wamezaliwa njeAnaweza akawa anakua, ataendelea kubadilika pengine atafanana na diamond, hofu hapa why afanane na Ivan? Mmh Mara mia angefanana na mama yake
MUNGU anakuona.View attachment 474822
Mimi binafsi nimekosa cha kuongea kama diamond anaamini huyu Mtoto ni wa kwake basi hili limbwata sio La nchi hii, Ila huyu Ivan ana damu kali sana
Mkuu Mwenye macho haambiwa tazama, wanajifanya vipofu lakini Mtoto wa Ivan 100%Japokua mtoto akiwa mdogo huwa anabadilika Mara kwa Mara ila hii ya nillan hapana, why afanane na Ivan kiasi hicho? Mmh tusubiri labda atabadilika, ila zari haaminiki
Mkuu unajua maana ya celebrity ?? Mtu maarufu lazima aongelewe tu na hasa Diamond anayejiweka public maisha yake binafsiWatanzania wachache wasio na la kufanya waache kumdhihaki huyo mtoto wa mondi. Mbona nyie hamkupimwa DNA na wazazi wenu. Hivi wanfapi mnaweza kythibitisha baba zenu ndio hasa na sio wengine. Acheni kujadili familia za wenzenu chunguzeni zenu. Mtoto ni wa mondi fulstop