Habari zenu wadau wa JF,
Leo nmekuja na hii kitu inaitwa TABOO nilipata kuona kwenye channel moja DSTV
Huko Australia wanandoa ili kudumisha penzi lao huwa wana tabia kila baada ya mUda kila mwanandoa anatafuta mtu stranger (sio wa mtaani mnaenda kumtafuta wote wawili) itategemea ataanza nani...
Wana JF naomba msaada wenu kwa hili'nipo kwenye mahusiano ya zaidi ya miaka2 sasa'mpnzi wangu yeye amfanikiwa zaidi yangu'ana gari,tatzo ambalo mi linanikwaza vtu vyake ananipa kwa masharti sana kiasi kwamba nahsi kama ananinyanyasa'sasa sijui nina wivu au ndio mapenzi'kwa mfano nikiwa naendesha...
MI ni mjasiria mali mdogo'nna vijisenti vyangu nafikiria jinsi ya kuviendeleza nikaona kwenye biashara ya burudani inalipa kimtindo'JF mnasemaje msaada kidogo'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.