Search results

  1. Zawadi Mkweru

    Fahamu kuhusu Bullying na jinsi wazazi wanavyochangia kutokea kwa unyanyasaji huu unaowaathiri sana watoto wawapo shuleni

    Bullying ni aina ya Unyanyasaji unaoweza kufafanuliwa kama shambulio la kisaikolojia, kimwili au vitisho ambalo hulenga kusababisha woga, mawazo au kumdhuru mwathirika. Bullying inapofanyika mashuleni huwa katika mazingira ambapo mwanafunzi hujikuta katika unyanyasaji wa kimfumo (pamoja na wigo...
  2. Zawadi Mkweru

    Viashiria wavitoavyo wanaume pale wanapokuwa na mfadhaiko wa kihisia endapo hatakwambia yeye mwenyewe

    Jambo moja kwa hakika: Ukiona mwanaume yeyote unayemfahamu kwenye maisha yako analia tambua kwamba kuna jambo haliko sawa. Hii ni tofauti na kwa wanawake ambapo wakilia sio lazima kuwe na tatizo kwasababu wao hutoa machozi mara kwa mara na jambo hilo hawalionei aibu na wameshazoeleka kufanya...
  3. Zawadi Mkweru

    Ripoti: Utafiti wabaini kuwepo kwa bakteria hatari ikiwemo fangasi kwenye bidhaa za vipodozi/urembo

    Utafiti mpya uliofanywa na chuo cha Aston mjini Birmingham, Uingereza umegundua kuwa katika bidhaa 9 kati ya 10 za urembo (Makeup) ambazo zimekwisha kutumika zina bakteria hatari. Utafiti huo uliochapishwa katika Jarida la Applied Microbiology, ulichunguza bidhaa 467, ikiwemo rangi za midomo...
  4. Zawadi Mkweru

    Nchi 54 duniani zinaruhusu wasichana kuolewa mapema kwa kati ya miaka 1-3 kuliko wavulana

    Ndoa za utotoni mara nyingi hutokea kati ya msichana mdogo na mwanaume mzee. (Mfano miaka 15 kwa miaka 75) Msichana ananyimwa haki yake ya kuchagua mwenzi na kupewa uwezo mdogo nyumbani na hata kunyanyaswa. Kwa mujibu wa Shirika la watoto duniani (UNICEF), karibu nusu (45%) ya wanawake wote...
  5. Zawadi Mkweru

    Wanaowanyanyasa wanawake kingono ni watu wao wa karibu

    Wanawake na mabinti hasa wenye umri mdogo wanakabiliwa na aina mbalimbali za unyanyasaji ikiwamo unyanyasaji majumbani. Ukatili wa kijinsia unaweza kuchukua sura yoyote kuanzia kwenye kurubuniwa kwa vitisho ama ahadi, ukatili wa kingono katika miozo hadi ndoa za utotoni, ukeketaji na kuuawa...
Back
Top Bottom