Best thing ni kujiorganise mfike 100+
You are lucky you have time.
Sisi(lake zone) ni kama tumepata habari kwa kushtukizwa wake up and make use of the opportunity mji motivate na kijihhamisisha mapema ikija zamu yenu mnajikuta mpo ready[emoji3] [emoji3]
Thanks bro, pamoja I will make sure we this thing is understood and accepted to whoever I know. Esp. The closest. It always begins with one, and progresses with the next one , I am never shaken now[emoji123]
Boss there is a group, Linaitwa lake zone Forex team , please confirm kama unalijua na kama upo kwenye process ya kuja mwanza with your team, by 9th october
Serikali always ni corrupt, coz most viongozi na wenyedhamana wengi serikalini ni corrupt.
Labda uarabuni na huko China.
Nawashangaa wanao dhani ukiweka kiongozi Fulani eti corruption itaisha, worst kwa mfumo wa serikali ile ile,
, ha ha. a. .
Sababu ni kwamba kihistoria tulikua na mahusiano mazur kwa Muda mrefu , hasa kipindi cha mwalimu.
Hivyo wazir kajibu kudiplomasia kwamba tumepunguza tangy 2014.
Which means bado yapo. Kama angekana hatuna kabisa na ushahidi upo/uwepo kwamba tunayo . basi hapo angekosa pa kutokea pale ambapo...
Nimefurahishwa na tukio la kwanza, wamemkamata wamepata mda wa kumuhoji na akaweza kuwapa taarifa zote hizo walizoainisha. Ila alikufa kwa kutokana damu nyingi japo walijaribu kumkimbiza hospitali.
Mda woote huo waliopata kumuhoji walishindwa kumfikisha hospitali kwanza, au walikuwa wakimuhoji...
Da we jamaa siwezi pinga baadhi ya hoja zako kwasababu sina ushahidi wa kupinha hizo hoja Hasa zile ambazo umesema umepata nafasi ya kuona vielelezo.
Hata hivyo kwa sababu hujaweka hivyo vielelezo hapa. Ambapo kusingekua na wa kuvipinga basi hata hizo hoja bado siziamini .
Na kama baadhi...
Yaaani wewe ndio umetoa jibu zuri.
Hasa hapo juu. Huku chini za kwamba angeenda mgahawani sijui ni mazungumzo baada ya habari.
Simjui aliyeanzisha Mada ila nafhani angekua yeye ndio dereva angrshuka na kukimbia kabisa.
Mfano mzuri nikiwa mdogo Kuna boss mmoja tulikua nae kwenye Gari yake na...
*LEO NIMEVUTA BANGI SIJAONA HATA MABADILIKO YOYOTE*
SIJUI MNAISIFIAGA NINI?
*Anyway wish u merry xmass and happy new year 2011*
♂♂♂
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
We jamaa ni chizi, kama hiyo Ni kweli( hapo sioni kabisa)
Basi Fanya kana kwamba hiyo ilikua ajali na, usiifikirie kama hata itaweza kutokea tena
Sahau kabisa kufanya hivyo tena
Hata kama sikubaliani na kauli yake. Hayo wanayosema huko nje hanihusu saana has a kwenye hiyo kumsema vibaya.
Kama nikusema tu. Kwenye issue hii, who cares, waache waseme, sisi tunaendelea na yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.