Search results

  1. N

    Wafanyakazi wa Airtel mwaendekeza nJaa wateja tumewachoka!

    Wanajamvi poleni kwa majukumu! Kuna tabia wanazionesha na kufanywa na wafanyakazi wa kampuni ya Airtel Mlimanicity hazitufurahishi wateja. Vocha zao hazina ubora ukikwangua namba zilizofichwa ili kuongeza salio zinachubuka na baadhi ya namba kutosomeka, Lakini cha ajabu tangu nianze kuwarudishia...
  2. N

    malumbano ya hoja, tanzania kama wanasheria ndo hawa, basi taifa limekwisha.

    Ndugu zangu wanaJF inakera sana kufuatilia kipindi ambacho kimejaa wachangiaji waliokosa mvuto, Nashindwa kufahamu Uelewa wao wa Kujenga hoJa, kweli nimeamini Maneno ya Wahenga kwamba 'KWENYE MITI MINGI HAKUNA WAJENZI' nikianza na Wanasheria Uchwara wasiojua Tasnia yao kwa Mapana, kumbe Chuo cha...
  3. N

    Boom, boom, boom!

    Ukamtolee Mungu sadaka sio salamu za maneno pekee haitoshi kuitwa Shukrani kwa Aliyekuneemesha! Mkumbuke Muumba wako siku za UJana wako na Kumtolea pia.
  4. N

    10 points to help a student to have excellent performance in the school/university

    Mbona kula vizuri na kulala vizuri haujalizungumzia? Usitegemee mwanafunzi alale koridoni mbu kuwa ndo shuka lake na kulala watatu kitanda kimoja ni sahihi no better performance itapatikana kutokana na matatizo yanayowapata wanafunzi kwasasa! Mwezi hakuna pesa za chakula unategemea nini? Muda...
  5. N

    Boom, boom, boom!

    Hardware!!! Hardware!!! Hardware!!! Hardware!!! Hardware!!! Hardware!!! Ndicho chakula kikubwa kwa wanafunzi hasa wa chuo kikuu cha Dar es salaam na unatengemea ufaulu mzuri kwa wanafunzi, Labda ila hili nalo neno!!
  6. N

    Nyie wenyewe mmezubaa:Mnaweza kujipa hela, hamtaki!

    Ameona ni sahihi kuyasema ya ndani ya Bunge kwa wananchi kitu ambacho ni kinyume na kanuni za Bunge. Kila wakati tumeshauri kuwachagua watu makini na wanaojenga hoja za msingi katika kuleta maendeleo. WanaNJombe wanamatatizo ya kukaa na kuyajadili na hatimaye yapelekwe bungeni na mwakilishi...
  7. N

    Mikopo chuoni

    Anasoma Mlimani huyo ambako wamekwenda Likizo, wamekaribia kufungua anakumbuka alikata Rufaa, duuh maisha ya bila mkopo ni Mateso!
  8. N

    Ipi haki ya wanafunzi hawa?

    Mbona ndo yanayotokea vyuo vyote, na hasa mtihani unapotungwa na mwl asiyekufundisha darasani, hiyo ndo elimu ya Tanzania!
  9. N

    ALDERSGATE!! ALDERSGATE!! ALDERSGATE!! Mpo???

    Ndugu zangu wahitimu wenzangu wa mwaka 2002 kidato cha nne, katika shule ya ALDERSGATE Mpo wapi Jamani? Najua maisha ni mtenenange unaotutenganisha tulio wengi, ni vizuri tukakumbukana na kuwasiliana kwa ukaribu tukikumbuka enzi hizo za Babu yetu Mbesere na Chai na vinginevyo tulivyokuwa...
  10. N

    Waziri shukuru kawambwa jiudhuru

    Stammary!! Stammary!! Stammary!! Kigugumiz!! Kigugumiz!! Kigugumiz!! Unadhani nimekua stooge? Hapana nashindwa kulitolea ufafanuzi na Mwafaka 'JANGA HILI LA KITAIFA' Juzi nimeongea vizuri tena wengi wenu mmeniona katika vyombo vya habari juu ya 'Kubadilisha mitaala ya Elimu kama si mfumo wenyewe...
  11. N

    Siasa za HESLB zinawalaza njaa wanachuo!

    Nyie mwalilia kucheleweshewa bumu ikiwa tulio wengi hatufahamu hilo bumu, na chakushangaza wanaUDSM pindi wanaandamana kutetea 'usawa' hasa kwa walikosa mikopo na Kuandikiwa 'NO LOAN' Wengi mlitucheka na vijembe vingi, pamoja na kauli ambazo zingestahiki kutolewa na watoto wa chekechea 'ati...
  12. N

    Ubunge East Afrika: James Milya anatufaa!!

    Hawa Je mbona umewatenga? Kumbuka mfumo wa vyama vingi mambo ya picha na kivuli hakuna tena, Kuna wagombea wengine kama; 1. William J Malecela 2. Happiness Elias Lugiko 3. Geoffrey Mwambe (mchumi Benki kuu) 4. Malenya Ngollo 5. Zainab Amir...
  13. N

    Website ya UDSM kwikwi ama?

    Hapo umenena ndugu! Hawana updates ama? Wanazingua chai tupu!
  14. N

    Misemo inayotingisha mahakamani

    Nolle proseque, plea of guilty, mutatis-mutandis, plea your honour, felony!
  15. N

    Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Inategemea na aina ya pasi unahitaji kwa ajili ya safari, maana kuna kama ifuatavyo; 1. Emegency travel document (ETD) ama Shahada ya Safari ya DHARURA imeanishwa nchi unazoruhusiwa kusafiria Yaani KENYA, UGANDA, MALAWI, DRC, RWANDA, BURUNDI, ZAMBIA, &MSUMBIJI na bei yake ni Tsh. 10,000tu...
  16. N

    Kwanini ni vigumu sana kupata "A" katika vyuo vyetu? Tunawahujumu wanafunzi wetu?

    Wakati nipo kidato cha tatu shule ya Aldersgate tena nikiwa kwenye mtihani wa Historia mwezi Novemba, alikuja mzungu ambaye kwao huko Marekani ni Mwl wa sekondari, akaingia darasani na kupewa kopi ya mtihani tuliokuwa tukiufanya akalalamika sana na kusema mtihani mgumu sana kwa wanafunzi wa...
  17. N

    Kwanini ni vigumu sana kupata "A" katika vyuo vyetu? Tunawahujumu wanafunzi wetu?

    Kama seminar ni sehemu ya kuelewa mbona seminar leader akifika anatupiga Quiz kila tuendapo Seminar yaani kati ya vipindi vitano nilivyohudhuria vitatu katupiga Quizes, semister ikaisha na hivyo vipindi viwili alitumia kutupiga majungu na mashushu! Kuna matatizo makubwa sana hasa kwa walimu wa...
  18. N

    Kwanini ni vigumu sana kupata "A" katika vyuo vyetu? Tunawahujumu wanafunzi wetu?

    Kaka mambo mengi yanayotukosesha Kupata 'A' ni pamoja na haya; 1. Mlo mmoja kwa siku, ama wanafunzi kushindia Mikate ukifika pale chuo utasikia (HARDWARE) inamaana Mikate Kariakoo! 2. Hakuna mahala pa kusomea hasa masomo ya majadiliano ambapo ni ushirikiano wa mambo mengi ya kimasomo! 3...
  19. N

    Kwanini ni vigumu sana kupata "A" katika vyuo vyetu? Tunawahujumu wanafunzi wetu?

    Maneno kama haya kutoka kwa walimu yanamsaidia nini mwanafunzi katika kupata 'A' na GPA Nzuri ama 1st class?; 1. I will give Supplimentary All of you and I'll be answerable for that 2. if u come to ask questions, dont ask silly, foolish ones 3. A student is asking me a question, I cant...
Back
Top Bottom