Kama seminar ni sehemu ya kuelewa mbona seminar leader akifika anatupiga Quiz kila tuendapo Seminar yaani kati ya vipindi vitano nilivyohudhuria vitatu katupiga Quizes, semister ikaisha na hivyo vipindi viwili alitumia kutupiga majungu na mashushu! Kuna matatizo makubwa sana hasa kwa walimu wa accounting!