MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Nafuatilia kipindi cha malumbano ya hoja kupitia ITV, mmmh, ijapo mi sio mtaalam wa sheria lkn hawa wanasheria kila wakichangia hoja natamani kuzima tv, wengine ni kama wanajikomba kwa polisi, wengi wanatetea kuwa polisi ni haki kutumia nguvu kwa kutumia risasi za moto.