Nilivyo kosa mkopo nilisoma kwa tabu sana ila nilifanikiwa kumaliza semi6 moja but kwa semi6 ya pili nilizuiliwa kufanya mitihan kias kwamba nilishindwa kumalizia ada ambayo ni laki saba na elfu 30 kutokana na wazaz wangu kushindwa kuipata hyo pesa lakin serikali imeproove failure kushindwa...
Nahc kwa siasa tanzania tunaweza ongoza kwa kushika namba moja ivo mpira tuwaachie wanaoujua na kuuthamini, team mbovu miundo mbinu mibovu ivo ngoja tuone uongoz ulioingia saiv tff ni kitu gani watakirekebsha....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.