Search results

  1. Jehanamu Hii

    Lucky Vincent; tupe maoni yako namna ya kupunguza ajali nchini

    Watanzania, natumaini sote tumeguswa na ajali ya Lucky Vincent na haitakuwa vyema kuisahau, maana waliopoteza watoto wao hawatawasahau na kamwe ajali hii haitafutika katika akili zetu kila tutakapokuwa tunavuta hisia na kupiga picha. Ni wazi kwamba kila mmoja wetu ameshampoteza mtu kwenye...
  2. Jehanamu Hii

    Swali kuhusu kutafuna mifupa ya kuku

    Ninapenda kutafuna mifupa milaini ya kuku. Hasa kwenye viungio--huwa kuna ile mifupa myeupe hivi--ni kama si mfupa na si nyama. Kwa kuku wa kienyeji labda hakuna tatizo. Kwa kuku wa kisasa je? Kuna matatizo yoyote ya kiafya naweza kupata?
  3. Jehanamu Hii

    Elimu ni nini?

    Swali la kizushi lakini itakuchukua zaidi ya dakika 10 kujibu. Si rahisi kama unavyofikiria. Soma maandishi ya kwenye picha kisha shusha mtazamo wako hapo chini ya picha hii:
  4. Jehanamu Hii

    Badilisha hiyo fikra (Change that Attitude)

    Badilisha hiyo fikra (Change that Attitude) Inashtua sana Watanzania kushtuka pale wanaposikia mambo ambayo ni nje ya imani yao au hayaendani na mtazamo wao na kamwe kutorudi nyuma kutafakari kuhusu mambo yao wenyewe yanayoshtua! Mtazamo hasi ni tatizo kubwa linalotutafuna sisi Watanzania...
  5. Jehanamu Hii

    Umuhimu wa Kutoa elimu kwa lugha ya kwanza (Kiswahili)

    KUMBUKA KUWA KIINGEREZA NI LUGHA, SI ELIMU. ELIMU ITOLEWE KAMA ELIMU NA LUGHA IFUNDISHWE KAMA LUGHA. HIVYO NDIVYO NCHI ZA WENYE KUJITAMBUA ZINAVYOFANYA. THAMANI YA ELIMU NI MAUDHUI, SI KUJUA KUSEMA YES, NO. KAMA UNA MAUDHUI MAZURI KWA LUGHA YAKO DUNIA YOTE ITAKUTAFUTA NA KUTAFSIRI. SI KUBABAISHA...
  6. Jehanamu Hii

    Umuhimu wa Kutoa elimu kwa lugha ya kwanza (Kiswahili)

    Soma hii, itakusaidia: Hivi watanzania wanafikiria nini kujifunza maudhui ya Kiswahili kwa kutumia Kiingereza? Ni kama Mchina kuamua kijifunza maudhui ya Kichina kwa kutumia Kiswahili, sio uchizi huo? Au mwingireza kujifunza maudhui yake ya hukooo ulaya kwa kutumia Kichina, si uchizi huo? Na...
  7. Jehanamu Hii

    Umuhimu wa Kutoa elimu kwa lugha ya kwanza (Kiswahili)

    KUTOA ELIMU KWA LUGHA YA KWANZA AU LUGHA INAYOELEWEKA KUNAMPA MTOTO FURSA YA KUUNGANISHA ELIMU NA MAISHA YA KAWAIDA. KIINGEREZA KWA TANZANIA NI UKUTA UNAOZUIA MUUNGANISHO HUO. PIA, KUNAMPA MZAZI FURSA YA KUCHANGIA KATIKA UELIMISHAJI. HADITHI ZA KITOTO HUWAELIMISHA MTOTO TOKA WANAPOKUWA WADOGO...
  8. Jehanamu Hii

    Serikali yapiga marufuku shule binafsi kufanya mitihani ya kuchuja wanafunzi

    PRODUCT= ZAO. Form Two=Kidato cha pili Form 4= kidato cha 4 Acha KiswahiliEnglish. Chagua lugha moja ya kutumia!!!!!!!!!!!!
  9. Jehanamu Hii

    Serikali yapiga marufuku shule binafsi kufanya mitihani ya kuchuja wanafunzi

    Ku implement ni KUTEKELEZA KWA KISWAHILI. ACHA KISWAHILIENGLISH. Chagua kutumia lugha moja.
  10. Jehanamu Hii

    Hivi Watanzania wanafikiria nini kujifunza maudhui ya kiswahili kwa kutumia kiingereza?

    Hivi watanzania wanafikiria nini kujifunza maudhui ya Kiswahili kwa kutumia Kiingereza? Ni kama Mchina kuamua kijifunza maudhui ya Kichina kwa kutumia Kiswahili, sio uchizi huo? Au mwingireza kujifunza maudhui yake ya hukooo ulaya kwa kutumia Kichina, si uchizi huo? Na Mswahili wa bongo kutumia...
  11. Jehanamu Hii

    Wanasiasa Tanzania hawajui Kiswahili wala Kiingereza

    Hoja negative zero=KiswaEnglish. Unajua hiki kitu?--->> https://en.wikipedia.org/wiki/Oral_Proficiency_Interview
  12. Jehanamu Hii

    Wanasiasa Tanzania hawajui Kiswahili wala Kiingereza

    Unashindwa kuchanganua mambo marahisi sana. Kwanza unamaanisha nini kusema 'swahili media'? Kama ninakuelewa ninadhani unamaanisha shule inayotumia lugha ya Kiswahili kufundishia mashuleni, siyo? Ni shule gani hiyo? Ipo mkoa gani? Hujui kwamba serikali yenyewe ndiyo imepinga kutoa elimu kwa...
  13. Jehanamu Hii

    Wanasiasa Tanzania hawajui Kiswahili wala Kiingereza

    Asante Rebeca. Wananchi wanatakiwa wadai haki yao ya kupata elimu katika lugha wanayoilewa.
  14. Jehanamu Hii

    Kupotea kwa Ben Saanane: Hoja za wananchi, kinachoendelea na maoni ya Waziri Mwigulu

    Wanasiasa wanafaidika na ujinga wa raia. Kwa vile elimu katika shule za sekondari hadi vyuo hutolewa kwa lugha ya Kiingereza ambayo waalimu wanaofundisha na wanafunzi hawaielewi, hakuna anayepata maudhui ya elimu. Zaidi wanafunzi wanaishia kukariri na kufaulu mtihani bila kujua maudhui ambayo...
  15. Jehanamu Hii

    Kupotea kwa Ben Saanane: Hoja za wananchi, kinachoendelea na maoni ya Waziri Mwigulu

    Tumia Kiswahili, hatuelewi lugha ya kuchanganya changanya hata kama una hoja. Heshima ya lugha izingatiwe.
  16. Jehanamu Hii

    Kupotea kwa Ben Saanane: Hoja za wananchi, kinachoendelea na maoni ya Waziri Mwigulu

    Mheshimiwa kabisa unachanganya lugha. Ongea Kiswahili ama Kiingereza. Utaeleweka tu. Kuchanganya lugha si mtindo.
  17. Jehanamu Hii

    Kupotea kwa Ben Saanane: Hoja za wananchi, kinachoendelea na maoni ya Waziri Mwigulu

    Acha kuchanganya lugha. Zungumza Kiswahili ama Kiingereza. Utaeleweka tu.
  18. Jehanamu Hii

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    HAKI! HAKI! TUNAHITAJI HAKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII! MMECHUKUA VYOTE LAKINI TUNATAKA HAKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII! MAX NAKUPENDA. WEWE NI KATI YA WATANZANIA WACHACHE MAJASIRI. PIGANA, PIGANA, TUKO NYUMA YAKO. NINAJUA NINAMNA GANI ROHO YAKO...
  19. Jehanamu Hii

    Si Lulu tu wasanii wa kibongo maskini wa lugha! Kiswahili si kiswahili kiingereza si kiingereza!

    Hivi kinachowafanya wasanii wa kibongo kuonesha upungufu wa lugha kama vile ilivyo katika upungufu wa kinga mwilini ni nini? Yaani mtu anachafua lugha kwa kuchanganya Kiingereza na Kiswahili baada ya kuokota maneno mawili matatu ya Kiingereza? Sasa wanamchango gani katika kukikuza Kiswahili...
Back
Top Bottom