Habarini wakuu
Mara tajwa yahusika
Kwa wanaume wote wa mjini marijali kama mimi watongozaji na wapenda totoz wazuri mtakubaliana na hili
Hapa mjini ukimtongoza demu na kutaka kumbandua au kumgegeda lazima atakutajia gharama ya elfu 30 au 50
Jamani uongooo? Kwa Haya ninayosema??
Demu ukimwambia...
Kwa miezi kadhaa sasa tangu ofisi yangu ipigwe ban na serikali ,nimejikuta naachana kabisa na mademu zangu wote na muda mwingi nawaza kutafuta hela Tu
Na hawa mademu nahisi washajishtukia coz nlivyowadekeza Siku za nyuma tofauti na hivi karibuni
So wameacha kabisa kunipiga mizinga na wote...
Wadau habari ya muda huu
Yani mwenzenu mida hii ndo nazinduka baada ya kulewa chakari mida ya asubuhi
Tangu Jana nipo ghetto na demu wangu sasa nlichokifanya Leo ndo sijui hatma yangu
Ni kwamba nlikua najifanya bingwa wa kwenda chumvini sasa katika kulamba lamba nahic nkalamba kinyeo cha demu...
Heading inahusika,
Nasikiasikia wanasayansi wanasema kufanya mapenzi mara kwa mara kunapunguza stress na maumivu ya kichwa.
Hii kweli jamani tujuzane manake nna stress mbaya hapa nilipo natafuta dawa ya asili ya kuondoa stress.
Kichwa cha habari chahusika
Serikali imetoa ajira Kwa walimu wa sayansi
But katika orodha hiyo yapo majina ya walimu watatu wa masomo ya arts
Na wote wamepangwa Bukoba municipal na wote wamepangwa shule moja
Sasa serikali ina semaje kuhusiana na hili la waalimu hawa wa arts kupewa ajira na...
Habari wakuu
Jamani Kwa anaejua faida anayoingiza Faru Fausta Kwa nchi anijuze
Naskia Faru huyu Kwa mwezi anatumia milioni 64
Banda lake lilijengwa Kwa milioni 43
Faru Fausta ni Mzee wa miaka 55
Lakini hadi umri huu Hana mtoto
Naomba kujuzwa faida anayotupatia huyu Faru hadi agharamiwe kiasi hiki.
Wakuu Heri ya Pasaka
Nipo mjini musoma hapa ,daaah inasikitisha Sana ,tofauti na sikukuu za miaka ya nyuma
Tulizoea ukienda Bar unakuta watu kibao meza zimechafuka bia
But Kwa pasaka hii ya Leo kweli utaamini Magu kabana
Nimepita baa kadhaa nyingi hazina wateja kabisa wala shamrashamra
Nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.