nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo kwa muda mrefu sana tangu kuanza kubalehe.
Iko hivi nikiwa kwenye chombo cha usafiri haswa gari kichwa huanza kuiniuma sana na kujisikia kichefuchefu kwa muda wote ntkao kua kwenye gari. Nshawahi kupanda boti na pantoni lakn cjawahi kukumbwa na tatizo...
Habari wanaJF,
Hii kitu inaumiza sana kichwa, unakuta watu wasio na bima(wanaolipa cash) huudumiwa haraka kuliko wenye.
Vipi nyie mshawahi kuexperince hii kitu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.