Mzinzi alihukumiwa kifo, lakini mahakama ikampa nafasi yakuchagua kifo gani afe, mzinzi akasema, nipeni k*ma yenye sumu niinyonye mpaka nife.... JAJI akasema, "kum*m*ko unataka ufe huku unapata raha?
MITOTO MINGINE KWAKUTOPENDA SHULE BWANA
Baada ya mwizi kuvamia nyumba moja usiku na kuiba vitu vingi wakati akijiandaa kuondoka ghafla anadakwa mguu na dogo..
Dogo akamwambia mwizi usipochukua na begi langu la shule NAPIGA KELELE!
mwizi akaduwaaa.
Walevi waliokota kioo
Mlevi mmoja: Kakitizama kioo kwa muda halafu akasema "Hii sura sii ngeni ila jina silikumbuki."
mwenzie akachukua kioo kuangalia
akasema: "We mlevi kwelikweli, si mimi huyu, halafu unajidai hunijui...?
"Dah!...ulevi noma"
MITOTO MINGINE KWAKUTOPENDA SHULE BWANA
Baada ya mwizi kuvamia nyumba moja usiku na kuiba vitu vingi wakati akijiandaa kuondoka ghafla anadakwa mguu na dogo..
Dogo akamwambia mwizi usipochukua na begi langu la shule NAPIGA KELELE!
mwizi akaduwaaa.
Kuna shoga m1 alikua bar anakunywa bia, mara akasikia nyimbo inaimba hv, "wanaume 2meumbwa mateso kuangaika" yule shoga akasema eheee niljua 2 ndio maana nikajtoa uko mapemaaa!!
Baba alimuuliza mwanae nikikupiga huwa hasira zako unamalizia wapi? Namalizia chooni. Huko chooni unamalizia vipi? Huwa nasafisha tundu la choo kwa kutumia mswaki wako unaotumia kila siku! Baba kazimia mpaka leo!....
Madenge alikuwa kwenye basi lenye abiria wengi. majambaz wakawavamia na kuwapora simu na usipotoa "una chomwa sindano ya damu ya ukimwi" watu waka toa lakin madenge hakutoa akachomwa ile sindano watu waka muuliza mbona umekubali? akajibu" "WALIKUWA HAWAJUI KAMA NIMEVAA KONDOM.! ! ! ! !
Mfanya kazi wa mochwari aliona maiti ina uume mkubwa, akaukata ule uume ili akamwonyeshe mkewe. Mkewe kuuona tuuu akatahamaki!!!
Mungu wangu,ina maana fundi amekufa!!!!????
Ndani ya Hospitali ya vichaa.
Muuguzi: Unaandika nini?
Kichaa: Barua
Muuguzi: Unamuandikia nani?
Kichaa: Najiandikia mwenyewe.
Muuguzi: Imebeba ujumbe gani?
Kichaa: Heh, we chizi kweli, sasa mi nitajuaje wakati barua bado haijanifikia?
Basi hapo mwanzo abunuasi alibahatika kuwa na mbuzi jike hivyo basi akawa na fikra za kuwa tajiri hapo baadae kwani alijua kwamba ipo siku ambapo mbuzi wake angezaa na yeye angekuwa tajiri kwa kuwa na mbuzi wengi.Basi siku moja alienda nambuzi wake malishoni na wakati alipokuwa anatembea mara...
Chukua maganda ya malimao changanya na iliki paamoja na pilipili manga kisha weka mchanganyiko huu ktk sufuria yenye maji kiasi kisha chemsha kwa dakika 10 na dawa itakua tayari. JINSI YA KUTUMIA: Kikombe cha chai x 2 kwa siku hapo utakuwa umekamilisha tiba.
Kuna mchaga alienda kwenye mgahawa kupata msosi wa mchana alipoulizwa aletewe chakula gani? akasema minataka machalari(ndizi) kilipoletwa akaanza kufakamia haraka avikupita hata vijiko vitatu akaanza kulamika kuungua MHUDUMU: vip nikuletee maji MANGI: nipoteze ladha MHUDUMU: meza basi ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.