Watanzania wenzangu naombeni ushauri wenu, hapa nilipo nimevurugwa vibaya sana kwa sasa kila ninalojaribu kufanya kwangu naliona kama halina tija tena kwangu.
Hali hii imenijia baada ya kugundua kuwa serikali ya Tz ilinilaghai na kisha kunitapeli zaidi ya sh.milioni 10. Mara nyingi nawaza na...
Watanzania wenzangu naombeni ushauri wenu, hapa nilipo nimevurugwa vibaya sana kwa sasa kila ninalojaribu kufanya kwangu naliona kama halina tija tena kwangu. Hali hii imenijia baada ya kugundua kuwa serikali ya Tz ilinilaghai na kisha kunitapeli zaidi ya sh.milioni 10. Mara nyingi nawaza na...
Napenda kuwasalimu wana JF wenzangu habari za weekend na pia poleni sana kwa uchovu wa pilika pilika za wiki nzima.
Bila kupoteza muda naomba nije moja kwa moja kwenye mada;
Leo naomba niwaangalie dada zangu kwa jicho pevu ambao wanakaa tu hawataki kujishughulisha huku wakijinasibu eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.