Mkuu kuna viEpisode nilikua navyo vya mbuzi wapo kwenye maporomoko. Yaani wanavyoruka na kupanda hayo maporomoko unaweza hisi ni visual effects. Walikua wanakimbizwa na Simba wa kwenye mawe (Puma?) walivyokua wanawakwep kwa kuruka juu ya mawe hadi utapenda
Kwa mara ya kwanza maishani nilifika kilo 65 from 51 nikatoka hadi kitambi Kwa muda wa miezi 5.
Tulivyoachana kilo zilirudi hadi 49. Nikawa nazidiwa uzito na mfuko wa cement
Jukwaa la JF Intelligence ndio lilinifanya nijiunge JF.
Jukwaa hilo limenifanya niwe hivi nilivyo leo, na kama mbeleni nitakua zaidi ya hivi nilivyo basi ni kwa ajili ya jukwaa hili.
Lina mchango mkubwa maishani mwangu. Ila kwasasa lishakufa
Kichwani mwangu nishajiambia muvi yoyote kutoka japan juo iko bomba. Hata story nyingi za muvi z wazungu hua wanawaiga au kuchukua stori za wajapan.
Anime zao mara nyingi hua ni kali sana hasa upande wa stori.
Eg.. Ukiangalia Attack on titan hutatamani iishe... Very interesting
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.