Inategemea brand...kama una mtu unayemuamini mjini DSM muombe aende mitaa ya kisutu kwenye maduka ya mashine mbalimbali akakuulizie, au sogea Mwanza uliza upate Bei elekezi. Kuagiza china pia unaweza ingawa kwa scale ya 18acres utaingia gharama. Mwaka 2021 HP 24 ya kichina ilikuwa btn 6.5 to 9.0...
Diesel, 3 inches or 4 inches. Ingawa haujasema ukubwa wa eneo lako umesema umbali.
Au tafuta engine ya "power tiller" (wengine huita kimondo ) ya horsepower 24 na pump ya inchi 6 suction ..then outlet unachonga bomba Y lenye reducing diameter mbili, unaweza chagua inchi 4 na inchi 2 , au 3 kwa...
Ikitokea ikachapishwa noti mpya ya say 15,000 au 20,000 shilingi za kitanzania, maana yake uchumi unazidi kudorora, inatakiwa thamani ya shilingi iimarike na kukua mpaka noti za 10,000 zitolewe kwenye mzunguko , turudi kwenye kutumia sarafu za shilingi 10,20 na 50. Then tuondoe 5000 na 2000...
Contemporary roofing style ina mahesabu fulani ambayo kama yakikosewa mfumo mzima wa paa hautakuwa wa ufanisi ..will fail during rains. 'span' ..slope, overlapping, joints ..canopy, proofing etc ..ni mfumo ambao unasave material ( mbao na mabati) una muonekano mzuri ..ila unahitaji ujuzi wa...
Aisee that's what happens, hata mimi nilijaribu episode ya kwanza nikaona ni Nini hiki nikaacha..siku nikakuta a friend anaangalia season 3 ..nikaenda itazama tangu season 1, I binge watched ..na ina spin off series inaitwa "better call Saul" .. Breaking Bad kuna muda inakuwa kama "lost" inaenda...
Hewaaala, nami ndio napita na mawazo kama haya, nilishawahi kuwa na vijana wachapakazi kabisa ila kama ulivyosema the moment you are away kufanya kazi zako zingine, nao off they go to centre .., ukiwepo machines are working properly, ukirudi mjini siku mbili ya tatu simu inaita pump imefanya...
Naona wachangiaji baadhi kwa hulka ya tabia zao wanajaribu kujieleza kupitia uzi huu, kipaumbele Cha wanawake haimaanishi wanaume hawatapata nafasi, hekari nne nilizotaja ni za kuanzia,Kuna shamba la hekari 28 na shamba kubwa zaidi, hili la kuanzia shughuli itakuwa kilimo cha muda wote bustani...
Hapana, angalau wana decipline na focus kidogo ya kazi kiuzalishaji , nilishafanya na graduates, na waliopitia vyuo kama liti, sua ..nimeona nijaribu hao wa JKT.
Polee kwa kuharibiwa akili na marehemu , Mimi kama muhitaji naona waliopita JKT watanifaa, wewe unayeona halina haja ya aliyepita JKT pia una haki na uwezo kufanya utakalo ona linakufaa.
Habari wanajukwaa, katika kufikiria mbinu na namna ya kuboresha na kufanya ujasiriamali kupitia kilimo na ufugaji nimewaza na kupanga kupata vijana waliopitia mafunzo ya JKT (either kwa mujibu wa au wazalendo), walio na utayari, kwa kuanzia shamba dogo (heka 4 ) lililopo wilaya ya Mvomero...
..na badoo hatujaseeema...mpaka tuseeme! [emoji1]
Just imagine tuna uhaba wa chuma ghafi na huku chuma tunacho hapahapa, ni kweli uwekezaji wa kukichimba ni mkubwa , sio kwamba hatuwezi, sera na mipango ni tofauti na vipaumbele.
Ungeangalia flight number kwenye zile screens, au hukushuka kumsindikiza departure "kumuwaawu" goodbye?! .. next time muombe ticket yake ujithibitishie anakokwenda ..or else labda tu unahisi unatendwa kama vile unavyotenda wewe ..just speculating.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.