Ndugu zangu habari za muda huu?
Naomba niende moja kwa moja kweenye mada. simu yangu ya sammsung a30 imeanguka na kuharibika kioo yaani display.
Kwa sasa simu imevujia wino na kioo ni cheusi hakioneshi kitu. hivyo, nalazimika kutaka kuibadili display ili simu yangu ipate kurudi katika ubora...
Kwanza kabisa, naomba nitangulize shukrani kwa kupata nafasi hii ya kulitumia jukwaa hili kuanzisha mjadala huu. Nimeamua kuanzisha mjadala huu kama sehemu ya namna ya majadiliano ya wana jamii kuhusu masuala yanayotuhusu na pengine michango itakayotolewa iwe na manufaa kwa wanajamii kwa ujumla...
Habari za muda huu ndugu zangu watanzania. kutokana na changamoto zinazoletwa na uwezo mdogo wa bodi ya mikopo kwa elimu ya juu, napenda kufahamu ni taasisi ipi inayoweza kutoa mkopo au ufadhili kwa mwanafunzi anayetaka kusoma elimu ya juu hapa Tanzania hasa program za masters au phd? a nasubiri...
Mimi ni mmoja wapo wa watuu wasioona tunaoutumia mtandao huu kwa muda sasa. Nikiri kwamba umekua chanzo changu kikubwa cha kuhabarika na kuelimika. Jf imekua ni mtandao au tovuti bora kabisa Tanzania linapokuja suala la accesibility features kwa watumiaji kama sisi tusioona na wenye uoni hafifu...
NAwasalim wandugu. Mimi kwa sasa niko musoma natafuta marafiki walio musoma tufahamiane. Mimi ni mwanaume umri miaka 25 ni mwajiriwa serikalini.
Nitafute pm au kwa e mail jerryrobson55@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.