Mwanaume unaweza kuchepuka na mwanamke yoyte yule anaeweza kusababisha dudu lisimame regardless ni mzur au mbaya kuliko mkeo...
Lkn kwa mwanamke ni tofaut kidogo wao wanachepuka na mtu ambae ana uwezo wa kumreplace mume wake kulingana na kitu ambacho anakihitaj kwa wakat huo either pesa mapenz
Aongee nn sasa wakat jalada tayar liko mahakaman????
Unadhan kila mtu anaropoka hovyo tu kama anavyofanya salome wa magu????
Usidhan siku zote hzo tangu atoke ni ww tu ndio hujamskia... Weng hatujamskia akiongea lolote lkn hakuna alieinua kisim kuhoji kwa nn haongei tena coz tunajua kwamba jambo...
Tulikua na kashem ketu flan hv kanatokea hukoo kanda ya ziwa... Broo alikua amezama ile ile na kiukweli she was vr innocent mkarimu na wife material kwa muonekano... Kuna siku nlipta maeneo kumchek bro nkamkuta nkaakaa nae kidogo nkaona anaongea sana na simu mda mrefu halaf anaongea kilugha...
Kwa ufaulu huo ulistahili kudisco kabisa hvyo kama utapata fursa ya kusupp itumie vzr...
Relax hzo ni challenge tu za maisha huwez kuzikimbia hzo maana hata huku mtaan ukileta ujuaji maisha yatakupiga supp mapenz yatakupa supp kila kitu kitakupga supp kinachotakiwa ni kujikaza usiwe na moyo...
Hakuna ajuae siku wala saa...
Kwa Mungu yote yanawezekana hata kupona inawezekana...
Jehovah tenda muujiza Jina lako Takatifu litukuzwe...
°°°°°°°°°°Amen°°°°°°°°°°°
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.