Mimi napashida sana tanzania na maprof wote mawaziri akili zimegoti kununua umeme nchi maskini kama ethiopia ambayo imepigana vita na jirani yake miaka kibao leo wanawatalaam wakuzalisha umeme mpaka wa kuuza nje sisi tumebaki amani na utlivu huu ni ujinga.waethiopia kila siku tunawakamata...
Ktk uzao wa watoto wa kiume tanganyika Lissu ndiyo wa kwanza wengine ndyo wavulana lakini wakiume Lissu na wadogo zake hawazidi wanne 4 wengine sijui wanajinsia gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.