inasikitisha sana kumteremsha cheo Makonda, kweli ccm inawenyewe, na ukuu wa mkoa wamemuheshimu ila stering wa mama anataka kumuondoa akakae bench kamtetea sana makufuli
umeoongea utumbo na sio weww ni ccm chawa kila siku awamu ya 6 ya mama kapiga aslimia 80, bado imefeli awamu ya 6 unafikiri jpm angekuwa hai miradi yoote sasa hivi ingekuwa imeisha na kuna miradi mipya kaazisha, mwenye miradi kafariki mnataka ashindane na mama yupo hai
dubai ni soko kubwa sana duniani lakini hawatumii spika kufanya biashara, tanzania huwezi kumkuta mwarabu au muhindi anafanya biashara yoyote akitumia spika hii ni sisi tu ifike wakati sasa TRA ikusanye kodi ya kila spika na sisajiliwe ziwe na namba kila mwaka unalipia na kwa mwezi elfu 15000/
kahaba ni neno la kiarabu lina maana ya mhuni wa kijiuza. malaya ni neno la kiswahili lina maana ya mhuni wa kujiuza. ndio maana zamani kulikuwa na spana ya baikeli inaitwa spana malaya kokote inafungua
wewe ni shabiki wa mpira hujui chochote, huijui russia hujui stock yake ya silaha zipoje, magaidi wamekamatwa kwa masaa 4 tu tangu walipouwa watu 140 na wakashikwa kwa masaa 4 tu ingekuwa FBI au CIA INgewachukua miezi 6mpaka mwaka kuwakamata magaidi
sasa hivi matajiri awamu ya 6 wanaishi kama wafalme wanafanya wanavyota wanapandisha bei ya vitu bila kujali serikali mafuta ya magari wao ndio wapandishaji sukari ni wao mafuta ya kula ni wa matajiri wanaishi awamu hii kama malaika ardhi wanajimilikisha vituo vya mafuta yametapakaa mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.