Babati maamuzi yalitoka mapema huku taratibu zingine zikifatwa
Mafia maamuzi yalitoka mapema Hulu taratibu zingine zikifatwa/fata
Huku NAzani maamuzi yalikuwa kumsogeza sehemu nyingine ili asije athiri uchunguzi, japo wananchi walitamani maamuzi ya kuwekwa Kando Kama yalivyofanyika kwa wengine...
Hii biashara kama huna namna ya kuzuia mtu unae Muuzia kusambaza kwa mwingine basi hakuna kitu hapa
Mfano nikiwa na laptop yangu naweza gawa Wireless nyumbani kwa familia au ofisini au mtaani kwa wadau kwa buku niliyolipia...!
Una wezaje kuboresha ulinzi wa huduma ili iwe kwa aliyelipia , yani...
Posho/mshahara kwa nafasi husika ya umeneja ktk taasisi yao haiendani kabisa
Wewe una sema taasisi nyingine! Nami nikutajie taasisi nyingine ili mjadala uwe mrefu??
Safari ya kolimba ina fanana na safari ya makonda?
Safari ya Maarim kupanga njama unazani ilikuwa ni ndogo? Kuliko ya kolimba? Ndio sababu ya jumbe kukaa kizuizini!
Walikuwa wapi kumuita akiwa ktk mikutano ya chama wakati ana sikiliza wananchi na kero zao?
Na mama akasema kuwa amekiamsha chama, pamoja na kuonekana alikuwa ana dhalilisha watu majukwaani na alikuwa anafanya majukumu ya kipolisi, mahakama, serikali nk
Mkenge mlioingia utakuja kuwaacha midomo wazi
Jiulize kwann watu wametawanyika wengine musoma, wengine kule (nchimb) wengine kule (jokt) huku (ally) nk
Siasa ni sayansi! Subiri ujue kitakacho kuja tokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.