Search results

  1. R

    ‘Udikteta’ wa Magufuli na uhuru wa kujieleza

    So wataka mpaka internet ifungwe ndo uamini ni dikteta? Uhuru wa kutoa maoni upo? Waweza elezea why maandamano kibao ya kupongeza serikali yanapewa baraka lakin Yale ya kuipinga hata kwa Aman yanakataliwa? Waweza elezea kwanini yule mkurugenzi wa twaweza kanyanganywa hati ya kusafiria ? Me naona...
  2. R

    Dar: Yaliyojiri katika mjadala wa wazi juu ya muswada wa vyama vya siasa katika ukumbi wa Kisenga Hall, LAPF Tower

    Kwa uelewa wako Jiwe hajahusika kwenye huu muswada? Please tumia common sense basi.. au na wewe ni mmja wa wale mlioamin yeye alienda kutatua swala la kikokotoo mwanzon hakuhusika Sent using Jamii Forums mobile app
  3. R

    Sakata la Korosho: Bwana mkubwa jiuzulu au uombe radhi kwa maamuzi yako yaliyotufikisha hapa tulipo leo hii

    Dah akili zenu nyie watu... Kwahyo hela zetu za Kodi zinatumiwa kuwakomesha kina nape? Na wewe unashangilia?? Hv ushapiga hesabu kama hela iliyotolewa na serikali na idadi ya tani wanazodai kununua kwa shs 3300/ per kilo vinaendana? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. R

    Sekta ya Afya imeimarika sana awamu hii

    Huu upumbavu hua mnaandika kwa sababu gani.. hivi nyie watu mnaishi nje ya uhalisia wa watanzania? Wapi kufungua file 2000? Na hizo billion 1.5 Kila wilaya ni hospital ngap zimejengwa mpaka Leo wakat ni mwaka wa tatu wa awamu hii? Hivi huu upumbavu wa kusifia sifia ni kwa ajili ya Nan? Si Bora...
  5. R

    Carol Ndosi: Dear International Community, Don’t come to us later and say “Had we known, we would have done more”

    Umemwelewa kwel ww? Anasema wasije kusema hawakuambiwa kuna matatizo Tanzania iwapo machafuko yakitokea bdae
  6. R

    Why I think he resonates with the silent majority

    Magufuli is a con artist,he doesn't practise what he preaches, scared of criticism, lacks emphathy, clearly potrays favourtism. If he is such a great leader why is he so scared of criticism
  7. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Nimependa ulivyochomekea vyeti feki... rafki yangu kubali umeshindwa tu
  8. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Basi why did you read the article in the first place? Kama hauziamin, I find it funny you can read an article just to argue with it rather than keep an open mind
  9. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Kiongozi wangu ni nani umeambiwa me ni mwanachama wa chama chochote cha siasa? So kisa wewe wamtetea Magufuli lazima uwe ni CCM? Wewe uliyemintroduce kikwete kwenye article ambayo haijamtaja ulikua hauamishi magoli
  10. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Tatizo ni nini kutokuelewa maneno au context yaliyotumika,?
  11. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Hujanjib lakin ni newssource gan ungekubali kama wangemcritisize magufuli
  12. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Sina ndugu wala jamaa kwenye suala la vyeti feki, nimeongelea mapungufu mbalimbali ya magufuli zipo nying zaid sema nimeona ntaandika jarida, not everyone akiongelea kitu kimemgusa personally wengne hatupendi tu uonevu
  13. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Kama hukichukulii serious then why did you comment in the first place? Na pia naomba ntajie hivyo vyombo ambavyo ungevichukulia serious
  14. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Suala la makinikia limeishia wap? Mnatoka kudai trillions of money mnapewa a promise of billions bila kuambiwa due date ya hiyo hela na hauoni that is shaky and unclear
  15. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    So economist kua na double standards ina justify rais kua na double standards?
  16. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Dah aisee unafurahisha na kusikitisha kisa naongelea suala la vyeti feki ina maana me muathirika wake, why nsiwe muathirika wa ubomoaji kimara? Au jina langu liwe limetajwa kwenye madawa ya kulevya?
  17. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Kama una amin sa hv watu hawaibi then you are naive
  18. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    The art of illusion is fascinating, huyu mnayesema anafight wizi so far 1. Kaanzisha mahakama ya fisadi iliyokosa kesi mpaka leo 2. Showed immense double standards kwenye suala la vyeti feki. 3. Claimed to fight drugs whilst it was merely a witch hunt and so far the "fight" imekua kupeleka wema...
  19. R

    Democracy under assault: Tanzania’s rogue president - The Economist

    Kwani hapa ipo article gani? It's weird how when Magufuli is criticized people either bring up Kikwete's name or mention so called agendas against Magufuli rather than discussing the actual opinions brought foward.
Back
Top Bottom