Sakata la Korosho: Bwana mkubwa jiuzulu au uombe radhi kwa maamuzi yako yaliyotufikisha hapa tulipo leo hii

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,144
144,652
Siku zote unapofanya maamuzi yasiyo sahihi, ni wasaidi wako ndio ambao mara nyingi hutupiwa lawama kwa maelezo kuwa hawakukushauri vizuri ingawa sisi wengine huwa tunapingana na mtazamo huu kutokana na jinsi tunavyokuona.

Sasa katika hili sakata la korosho, kila mtu ni shahidi kuwa, maamuzi yako ndio yametufikisha hapa tulipo kwani ulikataa mbele ya akadamnasi kuruhusu wafanyabiashara kununua korosho hivyo kwa hili lawama zinakwenda kwako moja kwa moja na kwasababu hiyo, tunaomba uwajibike kwa kujiuzulu au uombe radhi kwa maamuzi uliyoyafanya.

Unapowajibisha wengine, na wewe uwe tayari kuwajibika pale unapokosea hata kwa kuomba radhi tu, na ukifanya hivyo, utakuwa umeonyesha mfano wa uwajibikaji kwa walio chini yako.

Charity begins at home na kuongoza ni kuonyesha njia.

Walk the talk.
 
bado huna unalojua kuhusu korosho

tafuta elite ya ccm ya kusini, ambayo walikuwa wanajiita wakulima na kuwa na kiburi..kaone walivyochakaa na miaka yote walidhulumu wakulima halali...kaone yamewapata nini

Nenda kwa wakulima kawaulize wamefaidika au kuona nini (JPM hana haja ya kampeni kule)

sasa usiyejua kitu ambaye ulitakiwa zaidi kuwaza mbowe yuko ndani, unakuja na hekaya za mambo yasiyotendeka😂😂


Ungeuliza JPM kafaidi nini kwa maamuzi haya ya miezi 3...pata takwimu, unayemlaumu anastahili pongezi

hawa ghasia, akina Nape na wabunge kibao wa ccm ambao walikuwa wanajiita wakulima.....lile kundi faidi la kati halipo


kwa hili tena umechemka
 
bado huna unalojua kuhusu korosho

tafuta elite ya ccm ya kusini, ambayo walikuwa wanajiita wakulima na kuwa na kiburi..kaone walivyochakaa na miaka yote walidhulumu wakulima halali...kaone yamewapata nini

Nenda kwa wakulima kawaulize wamefaidika au kuona nini (JPM hana haja ya kampeni kule)

sasa usiyejua kitu ambaye ulitakiwa zaidi kuwaza mbowe yuko ndani, unakuja na hekaya za mambo yasiyotendeka😂😂


Ungeuliza JPM kafaidi nini kwa maamuzi haya ya miezi 3...pata takwimu, unayemlaumu anastahili pongezi

hawa ghasia, akina Nape na wabunge kibao wa ccm ambao walikuwa wanajiita wakulima.....lile kundi faidi la kati halipo


kwa hili tena umechemka

Kuna mtu aliewahi kufaidi kitu chochote halafu akalalamika kufaidi?
 
bado huna unalojua kuhusu korosho

tafuta elite ya ccm ya kusini, ambayo walikuwa wanajiita wakulima na kuwa na kiburi..kaone walivyochakaa na miaka yote walidhulumu wakulima halali...kaone yamewapata nini

Nenda kwa wakulima kawaulize wamefaidika au kuona nini (JPM hana haja ya kampeni kule)

sasa usiyejua kitu ambaye ulitakiwa zaidi kuwaza mbowe yuko ndani, unakuja na hekaya za mambo yasiyotendeka


Ungeuliza JPM kafaidi nini kwa maamuzi haya ya miezi 3...pata takwimu, unayemlaumu anastahili pongezi

hawa ghasia, akina Nape na wabunge kibao wa ccm ambao walikuwa wanajiita wakulima.....lile kundi faidi la kati halipo


kwa hili tena umechemka
Dah akili zenu nyie watu... Kwahyo hela zetu za Kodi zinatumiwa kuwakomesha kina nape? Na wewe unashangilia?? Hv ushapiga hesabu kama hela iliyotolewa na serikali na idadi ya tani wanazodai kununua kwa shs 3300/ per kilo vinaendana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ajiuzulu kisa sakata la korosho!

Hivi hizo korosho zina umuhimu gani hasa hadi kupelekea kiongozi wa nchi ajiuzulu?

Hilo mimi sidhani kabisa kama lina ‘warrant’ kiongozi wa nchi ajiuzulu!!

Eti ajiuzulu kisa korosho tu! You gotta be kidding me.

Ndo maana nyie makamanda mnaonekana ni watu mlio desperate na msio na hoja kabisa.
 
bado huna unalojua kuhusu korosho

tafuta elite ya ccm ya kusini, ambayo walikuwa wanajiita wakulima na kuwa na kiburi..kaone walivyochakaa na miaka yote walidhulumu wakulima halali...kaone yamewapata nini

Nenda kwa wakulima kawaulize wamefaidika au kuona nini (JPM hana haja ya kampeni kule)

sasa usiyejua kitu ambaye ulitakiwa zaidi kuwaza mbowe yuko ndani, unakuja na hekaya za mambo yasiyotendeka


Ungeuliza JPM kafaidi nini kwa maamuzi haya ya miezi 3...pata takwimu, unayemlaumu anastahili pongezi

hawa ghasia, akina Nape na wabunge kibao wa ccm ambao walikuwa wanajiita wakulima.....lile kundi faidi la kati halipo


kwa hili tena umechemka

Umeongea ukweli mtupu korosha walikuwa wananufaika wafanyabiashara hata usikie bei kubwa vp walanguz walikuwa wanachukua korosho wote unaowasikia wanapiga kelele ni wale wa kangomba wakulima wametulia wanajua ela zao watapata


Sent using Jamii Forums mobile app
 
bado huna unalojua kuhusu korosho

tafuta elite ya ccm ya kusini, ambayo walikuwa wanajiita wakulima na kuwa na kiburi..kaone walivyochakaa na miaka yote walidhulumu wakulima halali...kaone yamewapata nini

Nenda kwa wakulima kawaulize wamefaidika au kuona nini (JPM hana haja ya kampeni kule)

sasa usiyejua kitu ambaye ulitakiwa zaidi kuwaza mbowe yuko ndani, unakuja na hekaya za mambo yasiyotendeka


Ungeuliza JPM kafaidi nini kwa maamuzi haya ya miezi 3...pata takwimu, unayemlaumu anastahili pongezi

hawa ghasia, akina Nape na wabunge kibao wa ccm ambao walikuwa wanajiita wakulima.....lile kundi faidi la kati halipo


kwa hili tena umechemka
Unaonekana mtetezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote unapofanya maamuzi yasiyo sahihi, ni wasaidi wako ndio ambao mara nyingi hutupiwa lawama kwa maelezo kuwa hawakukushauri vizuri ingawa sisi wengine huwa tunapingana na mtazamo huu kutokana na jinsi tunavyokufahamu.

Sasa katika hili sakata la korosho kila mtu ni shahidi kuwa maamuzi yako ndio yametufikisha hapa tulipo kwani ulikataa mbele ya akadamnasi kuruhusu wafanyabiashara kununua korosho hivyo kwa hili lawama zinakwenda kwako moja kwa moja na kwasababu hiyo tunaomba uwajibike kwa kujiuzulu au uombe radhi kwa maamuzi uliyoyafanya.

Unapowajibisha wengine, na wewe uwe tayari kuwajibika pale unapokosea hata kwa kuomba radhi tu na ukifanya hivyo, utakuwa umeonyesha mfano wa uwajibikaji kwa walio chini yako.

Charity begins at home na kuongoza ni kuonyesha njia.

Hakuna unalo lijua kuhusu korosho ni heri ungefunga bakuli lako maamuz yake yalikuwa sahihi kwa wakat muafaka


Sent using Jamii Forums mobile app
 
bado huna unalojua kuhusu korosho

tafuta elite ya ccm ya kusini, ambayo walikuwa wanajiita wakulima na kuwa na kiburi..kaone walivyochakaa na miaka yote walidhulumu wakulima halali...kaone yamewapata nini

Nenda kwa wakulima kawaulize wamefaidika au kuona nini (JPM hana haja ya kampeni kule)

sasa usiyejua kitu ambaye ulitakiwa zaidi kuwaza mbowe yuko ndani, unakuja na hekaya za mambo yasiyotendeka😂😂


Ungeuliza JPM kafaidi nini kwa maamuzi haya ya miezi 3...pata takwimu, unayemlaumu anastahili pongezi

hawa ghasia, akina Nape na wabunge kibao wa ccm ambao walikuwa wanajiita wakulima.....lile kundi faidi la kati halipo


kwa hili tena umechemka
Kama ilivyo ada mtu mzima kukosa hoja umeleezwa kwamba aliekataa wafanyabiashara wasinunue korosho ni huyu huyu anaejifanya kuwajibisha watu, sasa badala ya kujiuliza kwanini awaite sasa hivi watu aliowakataa tena kabla hata ya deadline wewe unajibu sijui mbowe yupo ndani..acha kua mbumbumbu sijui akawaulize wafanyabiashara kweli upo timamu kichwani?
 
bado huna unalojua kuhusu korosho

tafuta elite ya ccm ya kusini, ambayo walikuwa wanajiita wakulima na kuwa na kiburi..kaone walivyochakaa na miaka yote walidhulumu wakulima halali...kaone yamewapata nini

Nenda kwa wakulima kawaulize wamefaidika au kuona nini (JPM hana haja ya kampeni kule)

sasa usiyejua kitu ambaye ulitakiwa zaidi kuwaza mbowe yuko ndani, unakuja na hekaya za mambo yasiyotendeka


Ungeuliza JPM kafaidi nini kwa maamuzi haya ya miezi 3...pata takwimu, unayemlaumu anastahili pongezi

hawa ghasia, akina Nape na wabunge kibao wa ccm ambao walikuwa wanajiita wakulima.....lile kundi faidi la kati halipo


kwa hili tena umechemka
Unaongelea kusini ipi?unasikia au unaangalia kwenye tbc?njoo huku ndo utajua anapendwa au anachukiwa...huwezi kumpenda mwanamke kwa kigezo cha kuwa na K.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waendelee kutulia tu wakijua hela zao watapata Ila wakumbuke
January watoto wanatikiwa shule
Wanahitaji kwenda hospital
Waliowakopesha wanahitaji hela yao.
Uhakiki unaendelea.
Umeongea ukweli mtupu korosha walikuwa wananufaika wafanyabiashara hata usikie bei kubwa vp walanguz walikuwa wanachukua korosho wote unaowasikia wanapiga kelele ni wale wa kangomba wakulima wametulia wanajua ela zao watapata


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom