Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,596
Hawa jamaa ni mabingwa kwa kuhamisha magoli kama viongozi wao.Mbona hunijibu swali unaishia kuchanganya lugha tu. Huwezi kujieleza kwa lugha moja? Weka hiyo "shaky and unclear agreement" tuione, la sivyo huna lolote. Acha kuleta ngonjera zako zisizo na uhalisia wowote.